figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Heshima kwenu mmu.Unajua siku hizi watu wengi wanashindwa kula chakula cha wapenzi wao kisa mboga kaizoea so anataka kubadilisha. Hiyo haisaidii coz utajifanya kula nje ya ndoa na utarudi unahara. Ni bora utumie picha ya samaki umpendae kumlizisha mpenzi wako sio unagusagusa tu eti umeshiba sometimes unalegea mkono ukiwa kwenye sahani eti umechoka. Madada nanyi msitumie mda wa chakula kama sehemu ya kusutana na kuelezana matatizo. jifanye hata unalia mradi aone unajali. ni ushauri tu. :yo: mia
Let me try to get you correct! Ina maana cku ukijisikia kula kambale, kula kambale na cku ukijisikia kula perege; kula perege! Am I right Sir?Haisaidii kuimagine unakula pelege wakati unakuta kambale!!
Mmmh tukianza kuapply hizo ni sawa na movie sijui nani atapewa Oscar hapo, full usanii
una hakikaInasaidi kushiba haraka.
Huna akiliHeshima kwenu mmu.Unajua siku hizi watu wengi wanashindwa kula chakula cha wapenzi wao kisa mboga kaizoea so anataka kubadilisha. Hiyo haisaidii coz utajifanya kula nje ya ndoa na utarudi unahara. Ni bora utumie picha ya samaki umpendae kumlizisha mpenzi wako sio unagusagusa tu eti umeshiba sometimes unalegea mkono ukiwa kwenye sahani eti umechoka. Madada nanyi msitumie mda wa chakula kama sehemu ya kusutana na kuelezana matatizo. jifanye hata unalia mradi aone unajali. ni ushauri tu. :yo: mia