Khaleed Mgambilwa
Member
- May 2, 2018
- 20
- 27
Nikiwa na wewe akija mdingi namkataa wallahi tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya mawazo aliwahi kuwa nayo jamaa furani hiviChochote akifanyacho na atakachokifanya Mama yangu YUPO SAHIHI NA ATABAKI KUA SAHIHI.
yaaan nimkane mama yangu ,kisa kademu???? ...duuuhhhh Nitamkataa mwanamke kwa ajili ya Mama na Baba yangu ikiwa tu "Atashindwa kujua mipaka yake na Wazazi wangu"...alafu naoa mwingine ,naye akileta ujinga ivo ivo ,nahisi nitaendelea kufanya ivo as long as Uwezo wakufanya ivo upo na wazaz wangu wanakua na Aman na Furaha.
Uko sahihi mkuuTena ungepokea hiyo sahani kwa mikono miwili na kwa heshima zote huyo demu kama ana akali timamu atazidi kukupenda.
Kwa hiyo mwanamke wako ni wa maana na muhimu kuliko mama yako anaechukua chakula ili mkale wewe na wadogo zako?Umetulia ZAKo KWENYE Sherehe na MTOTO mkali Unamtongoza maraa MAMAAKO anakuja na Sahani Limeja wali
"WEKa Kwenye RAMBO kubwa Mkale na WADOGo zako mie LEO sipiki Tena na OLE WAKO Ule Njiani " [emoji13][emoji13]Unaweza SEMA mama mie sio mwanao, mwanao Katoka hapaa sio Muda[emoji23] issue Utarudia Wapiii??
Umkane mama kisa mtoto mkali????[emoji57] [emoji57]
Wewe ni mpare?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Chochote akifanyacho na atakachokifanya Mama yangu YUPO SAHIHI NA ATABAKI KUA SAHIHI.
yaaan nimkane mama yangu ,kisa kademu???? ...duuuhhhh Nitamkataa mwanamke kwa ajili ya Mama na Baba yangu ikiwa tu "Atashindwa kujua mipaka yake na Wazazi wangu"...alafu naoa mwingine ,naye akileta ujinga ivo ivo ,nahisi nitaendelea kufanya ivo as long as Uwezo wakufanya ivo upo na wazaz wangu wanakua na Aman na Furaha.