Jamani nimecheeeeeeka ..hivi kweli utataka ujue huwa anafanyiwaje kama anapewa kisamvu cha kopo na wewe utaamua kumfanyia mkeo ili asiend huko anakoenda
Kama anaona kule ndo kuko sawa basi talaka inamfaa ili aende huko apewe hicho anachokipata
Jamani nimecheeeeeeka ..hivi kweli utataka ujue huwa anafanyiwaje kama anapewa kisamvu cha kopo na wewe utaamua kumfanyia mkeo ili asiend huko anakoenda
Kama anaona kule ndo kuko sawa basi talaka inamfaa ili aende huko apewe hicho anachokipata
Mkuu huo ulikuwa ni mfano tu wa kukisi vidole,kuna mengi wasichana wetu huyatamani lakini huogopa kutuliza kwa kuhofia tutakasirika na kuwa karipia moja wapo likiwamo scoope diving .
Ni bora wajinyamazie tu maana wakisema, "Naomba unifanyie hivi" basi ugomvi. Nani kakufundisha mambo haya, tumeshaishi miaka chungu nzima hujawahi kuniambia kitu kama hiki. Utaniambia huyo mwanaume wako anayekufanyia hili ni nani si ajabu na kipigo juu.Bora wauchune tu kuliko kuleta shari ndani ya nyumba.
Huu ni uvunjifu wa maadili, na ni ulimbukeni wa kipumbavu sana ambao watu na akili zao wanaiga bila bila kuchuja na kujua madhara yake.
Pornography imekuharibuni sana ndugu zanguni.
Tumeingia kwenye hii teknoloji ya mitandao bila kujiandaa.
I hate every one who mentions the right words in opposite meanings.
Tigo itaendelea kuwa Tigo, na ni mtandao bomba.
Mshindiliwe na mlegee!!
Kaiga huyo msamehe hajui asemaloUmelaani nini na umesema nini!! nani ashidhiliwe, na ashindiliwe nini?
Kuchamba kwingi......
Ni bora wajinyamazie tu maana wakisema, "Naomba unifanyie hivi" basi ugomvi. Nani kakufundisha mambo haya, tumeshaishi miaka chungu nzima hujawahi kuniambia kitu kama hiki. Utaniambia huyo mwanaume wako anayekufanyia hili ni nani si ajabu na kipigo juu.Bora wauchune tu kuliko kuleta shari ndani ya nyumba.
Mazee hapo ni heartbreaking, hasa kama mwanaume unjisikia uko defeated and not good enough, lakini kama mwenzako anamegwa nje, lazima utahisi japo kwa mbali even before yeye kufikia hatua ya ku-disclose huyo wa nje.
Mie kwenye hilo nitajaribu kujua jamaa anavyofanya na nitatumia njia ya kuwa a better man with good time ili atoe siri zake [lakini moyoni ntakuwa tayari najiandaa kuachia mchuma], then ntajaribu kila hali nifikie ubora wa jamaa.
Siku atakapokubali nimefikia, then natosa mzigo kwani ile active search itakuwa inaendelea, hapa lengo langu ni kuonyesha kwamba ubora wa haya mambo hutokana na wote wawili ku-share hisia kila wakati na pia kumuonyesha machungu ya betrayals
Lazma ntamtosa, lakini itakuwa baada ya kuongeza mapenzi na kumuharibia huko nje
jalia unamuhudumia kila anachokitaka kutoka a to z ikatokea siku moja ukagunduwa kuna mtu anachovya asali uitunzayo ,katika kukabiliana nae mpenzi wako ili ujuwe ni kitu gani kilichomfanya achukuwe hatuwa ya kufanya kitendo hicho? Katika majibizano yenu akatowa kauli na kusema mambo anayonifanyia yule jamaa wewe hujawahi kunifanyia,jee utakuwa tayari uyajuwe hayo majambo ili uweze kumfanyia na kutunza penzi lenu?
Jalia Unamuhudumia kila anachokitaka kutoka A to Z ikatokea siku moja ukagunduwa kuna mtu anachovya asali uitunzayo ,katika kukabiliana nae mpenzi wako ili ujuwe ni kitu gani kilichomfanya achukuwe hatuwa ya kufanya kitendo hicho? katika majibizano yenu akatowa kauli na kusema mambo anayonifanyia yule jamaa wewe hujawahi kunifanyia,Jee utakuwa tayari uyajuwe hayo majambo ili uweze kumfanyia na kutunza penzi lenu?
Jalia Unamuhudumia kila anachokitaka kutoka A to Z ikatokea siku moja ukagunduwa kuna mtu anachovya asali uitunzayo ,katika kukabiliana nae mpenzi wako ili ujuwe ni kitu gani kilichomfanya achukuwe hatuwa ya kufanya kitendo hicho? katika majibizano yenu akatowa kauli na kusema mambo anayonifanyia yule jamaa wewe hujawahi kunifanyia,Jee utakuwa tayari uyajuwe hayo majambo ili uweze kumfanyia na kutunza penzi lenu?