Inasemekana alikuwa tungi

Sura tu inaonyesha jamaa anagonga sana vyombo.
 
Ila Uhuru mshkaji sana, nahisi viongozi wanaishi nae kishkaji sana, hapo aliposimama na mkuu wa majeshi unaweza kuta walikua wanapiga story za mchepuko.

[emoji23][emoji23][emoji23]story za michepuko ila ww
 
Ila sura yake ilivyo tu....ukiambiwa anatumia "sigara kubwa" huwezi bisha hata😀😀. But I truly admire his simplicity! Safari njema sana.
 
Ila Uhuru mshkaji sana, nahisi viongozi wanaishi nae kishkaji sana, hapo aliposimama na mkuu wa majeshi unaweza kuta walikua wanapiga story za mchepuko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…