Nimeisoma hiyo barua, kwani kuna jambo gani hapa serikali inaogopa? Ukweli uko wazi na Dr. anaendelea vizuri na ana fahamu zake kila kitu kitakuwa hadharani. Kwa hakika waliotenda ile kazi walijua wamemaliza kazi kumbe Mungu amempangia kila binadamu kifo chake?!!!!!!! Cha msingi serikali ikubali kuwa fani ya udaktari na ualim si ya kuchezea na iwe na busara na majibu ya viongozi waandamizi wa serikali. Ni vema busara itumike kuongea na hawa ndugu zetu maana ni wasomi wa miaka 7 na si chekechea hawa!!!!! Huduma ya afya ni nyeti hasa kwa sisi ambao hatuna uwezo wa kwenda private au nje ya nchi kwa matibabu. So sad that the crisis is on and no sustainable solution to it. For now, I believe Tanzania lacks mediation expects!!!!!!! So sad our relatives and friends are dying out there na hakuna anayejigusa kuongea inavyopaswa na hawa madaktari. Yaani hadi sasa ni kimya kabisa!!! Hivi kweli wakiacha kazi Tanzania ina uwezo wa ku-hire nje ya nchi? Watawalipa expetriate remunerations au ni vipi? Kwa hakika the medical workforce shortage is a crisis in Tanzania halafu tena waache kazi? Let us be frank and look for a better way to solve it na tuache ubabe na vitisho.