Mihela imeandika hiyo post shida ya nini sasa,wakati anakwepa ngumi kuna mwehu mwenzetu alikua kakalia madawati na leo hii analipwa na uyu mhuni ambae alikimbia madawati yaani kama kuna mtu anaweza ku-delete folders zote za shuleni kichwani mwangu alafu anipe mihela mbona fast tu nawahi kwake.