Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Kiongozi wa jamii ya Somalia iliopo USA, Abdihakim Osman anadai Ilhan Omar alikiri Ilhan kuolewa na kaka yake, Ahmed Elmi, ili kupata nafasi ya kuendelea kuishi Marekani.
Osman: "Alisema alihitaji kupata documents ya kuhakikisha kuendelea kuwepo USA kaka yake, sisi tulifikiri alimaanisha ukaaji tu na sio ndoa.”
Harusi ya Omar ya 2009 na Elmi iliripotiwa kuwa siri, bila wanajamii wa Kisomali walioalikwa.
Ilhan ni mkosoaji mkuu wa Israel, uyahudi, Trump, capitalism na sera za uhamiaji za Marekani.
Osman: "Alisema alihitaji kupata documents ya kuhakikisha kuendelea kuwepo USA kaka yake, sisi tulifikiri alimaanisha ukaaji tu na sio ndoa.”
Harusi ya Omar ya 2009 na Elmi iliripotiwa kuwa siri, bila wanajamii wa Kisomali walioalikwa.
Ilhan ni mkosoaji mkuu wa Israel, uyahudi, Trump, capitalism na sera za uhamiaji za Marekani.