Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Jonas Mkude amepewa kandarasi ya mwaka mmoja pale jangwani, hizi timu bana, sasa Ambundo na Mkude nani mwenye afadhali, Ambundo ni kiungo wa pembeni lakini ana msaada kuliko huyo Mkude ambaye naamini mmemsajili ili kuleta tension Simba.
Mkude hana impact yoyote
Mkude hana impact yoyote