Inasemekana Kipa wa Simba ana uwezo kudaka na miguu

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Msishangae wataalam
Inasemekana Goalkeeper mahiri wa Simba SC anao uwezo mkubwa kutumia miguu yake kudaka mipira.Sababu hii inapelekea kuruka upande wa kushoto tofauti na uelekeo wa mpira ili aweze kutumia miguu yake kudaka mpira.

Kongole Wanasimba kwa ushindi mnono, Kongole Wanalunyasi kupata kipa mahiri 😄

Hapa kijana akijiandaa kunyaka shuti kali.

 
Jamaa una mawazo ya KIMASIKINI SANA. Ko

UNA MAWAZO YA KIMASIKINI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…