OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Haileti mantiki kabsa timu isiyodhaminiwa na sportpesa wapate hiyo nafasi ya kucheza na everton ili Hali timu zinazodhaminiwa zipo!Taarifa rasmi itatoka hivi punde
Sababu ni kutokana na Bandari na Kariobang sharks kutokuwa katika udhamini wa Sportspesa yaani Sportspesa sio main sponsor wao.
Mimi sio yanga lakini simba mmezoea kitonga sana maneno mengi matokeo zero
Hahaha mkuu tuacheni tu jamani nawewe jitahidi siku moja utapata zali.karibu kwa mchina umuone Yerry Mina, Lucas digne, na Richaldson wakiumana vikali na mastar wa Nchi kama Chama na wenzankeMnapenda ganda la ndizi
Hii inaitwa viti maalumTaarifa rasmi itatoka hivi punde
Sababu ni kutokana na Bandari na Kariobang sharks kutokuwa katika udhamini wa Sportspesa yaani Sportspesa sio main sponsor wao.
Hivi kwa sasa underdog kati ya Simba na wewe ni nani!Taarifa rasmi kutoka wapi? punde hiyo hadi sasa kimya... underdogs mna tabu sana...Halafu moderators muwe mnahariri habari kama hizi zisizo na uhakika... Mtu anakula kiporo cha makande ya juzi na uji halafu anakuja kupost upupu
Haina haja ya kutumia nguvu nyingiHivi kwa sasa underdog kati ya Simba na wewe ni nani!