Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Hawa watu (rasta men) wanavuta sana bangi lakini bado wanabaki kuwa watu wa Amani na Utulivu sana katika Jamii.
Hivi kuna nini mpaka haiwasumbui kichwa kama ilivyo kwa watu wengine?
Hivi kuna nini mpaka haiwasumbui kichwa kama ilivyo kwa watu wengine?