Yaap!beauty with purpose!!Kuanzia jana tunasemaga Mh. Jokate Mwegelo
Hebu funguka zaidi bahati yako ilipo mkuuMfano mwingine mimi [emoji4][emoji4]
Wapo wengi sana sema hawaonekani sio maarufu!hata Mimi pia naweza kua vile but kwa kua si maarufu nisionekane all in all nampongeza sana tuTake a note and follow the steps
we mdada nakukubari sana na mwenzio Madame B nyie ni chanzo cha mimi kuja humu ndaniBeb kwahiyo umepata mwembamba eeeh
hebu pig picha nyuma tukuoneSina hata wa kusingiziwa [emoji2][emoji2]
Kuna mtu mnamtafuta hapa!!#INASEMEKANA: Watalaam wa mambo wanasema wanawake wembemba wasio na mizigo wana bahati sana. Ukidate nae mambo yanakuendea sawa, ukiwa nae tegemea bahati tu.
Shauri yenu nyie endeleeni kupenda mizigo.
View attachment 821288
AmeenSiku moja utaonekana mkuu trust your move.
Kwa hiyo Sepetua asingekuwa bonge naye angelambishwa?Mtu na bahati yake hatafutwi.
Ni yupi mkuu wife kati ya hao wawili, mzigua au madame B. Ila sio kwa ubaya nawakubali tu kama rafiki wapenz basi na si vinginevyo japo pia natamani sana kuwaona live nijue niwazavyo ndivyo namwongeza na yna4Mkuu unamkubali WIFE mbele yangu. Una maana gani haswa?