Inasemekana watu wengi duniani wamezaliwa mwezi December, kama wewe mmojawapo tukutane hapa.

likandambwasada

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
5,402
Reaction score
6,081
Utakubaliana na mimi kuwa mwezi December ndiyo mwezi ambao watu wengi huzaliwa duniani.

Hii inatokana na ukweli kwamba, mwezi huu ni wa kihistoria wa kuzaliwa kwake Yesu Kristo aliyezaliwa na Bikira Maria kwa uwezo wa roho mtakatifu.

Kuzaliwa kwake kulileta mabadiliko makubwa duniani ambapo watu wengi walipata elimu ya kiroho na jinsi ya kuwa karibu na Mungu.

Wapo wagonjwa walioponywa, wafu waliofufuliwa na vipofu waliopewa nuru.

Kama wewe umezaliwa mwezi huu mtakatifu basi weka tarehe yako hapa kusisitiza kuwa umezaliwa pamoja na masia.

[HASHTAG]#Merrychristmass[/HASHTAG]
Mimi nimezaliwa saa 6 usiku tarehe 25 December
 
Toa takwimu siyo kuwaandika mambo ya kusadikika
 
Miezi yote ni mitakatifu usijifanye kuzaliwa desemba uwe special kuliko waliozaliwa miezi mingine
 
Kule mkoani Kilimanjaro wengi wameziwa mwezi wa 9.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…