Inasemekana yanga walitandikwa hadi wakaimba nyimbo za kizalendo kule Congo

Inasemekana yanga walitandikwa hadi wakaimba nyimbo za kizalendo kule Congo

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nianze kwa kuwapa pole hawa jamaa kwani fikiria mtu unapewa kichapo hadi unapamis kwenu na kuanza kuimba Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote.

Hata hivyo awali walifanya show off ya kufungua tawi moja wakijiaminisha eti wao Congo ni kama nyumbani.
Sifa tu za kijinga kumbe hata ,hakuna anayewasapoti zaidi ya watanzania walioko huko ambao wengine ni Simba.

Yanga punguzeni shobo na kujipendekeza kisa kulazimisha tu kwamba mnajulikana.Mtajulikanaje iwapo kila siku mnaishi kwa kuwategemea akina mzee mpili badala ya kutegemea soka ndani ya uwanja?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Back
Top Bottom