Hii staili ya kuacha unga ya wasanii ndio uwa inanishangaza.. Unaachaje unga kirahisi hivyo!
Wasanii wetu wakae wakijua unga hauna mjanja.. Unga ata uufiche vipi kuna siku utakuumbua tu... Tunasubiri wajanja kina Mr blue, TID, Babuu, Mox, Majani, Bushoke ,Q chilla nk tuuone mwisho wao .
Btw hivi Tippo wa Zizu yupo wapi? Ana dhambi nyingi sana huyu jamaa.