Inashangaza kusikia Nyati na Pundamilia wakidai Katiba Mpya mbugani

Bi chui akihojiwa na BIBISI alisema wanaodai katiba ni wa mtandaoni.


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mtu anasmart phone anadai Katiba mpya? Ati wenye vitochi au wasio na simu ndio Wadai. Ninyi wengine mkae chonjo
 
Reactions: Sax
sio utani watabadili KATIBA ila ngoja kwanza mpaka wamalize chai kunywa kwa mtindo wa kisasa yaani wanatumia umma kunywea chai badala ya kijiko.
 
Subiria waje vihiyo wa buku7 Kama wataweza kutafsiri kitu hapa. Maana wao wanawategemea Kingai na Mahita division five kuwaongoza kufanya siasa.Wao wanasema maana ya neno
Terrorism ni Mambo ya Utalii.
cc. Johnthebaptist
 
Umeeleweka. Kamwe "predator" hawezi kukubali mfumo unaoweza kumunyima uhai. TZ ya sasa ni "Shamba la Wanyama".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…