Shujaa Nduna
JF-Expert Member
- Sep 8, 2022
- 599
- 487
Ninyi watu wa usafi huwa mnapita kwa mama ntilie kukagua apron kama wamevaa safi, lakini muwe mnatazama na maji wanayooshea vyombo, machafu hata bata hanywi.
Picha kutoka maktaba
Sasa twende katika hoja ya leo. Kwanini watu wa afya hamuwapi elimu na kuwasisitiza wale wanaopakia uchafu kwenye magari wazingatie uvaaji buti, suruali ndefu, gloves na kofia?
Wanashika uchafu kwa mikono, wengine wanavaa raba tu tena nimemuona mwingine anakula yupo kwenye gari ya taka! Chukueni hatua, hamuogopi mlipuko wa magonjwa?
Halmashauri, Manispaa na Jiji muwajibike.
Picha kutoka maktaba
Wanashika uchafu kwa mikono, wengine wanavaa raba tu tena nimemuona mwingine anakula yupo kwenye gari ya taka! Chukueni hatua, hamuogopi mlipuko wa magonjwa?
Halmashauri, Manispaa na Jiji muwajibike.