johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Inabidi zinyeshe mvua ngapi meku?Mvua mbili tatu hizi una uhakika zitakuwa zmejaza hivyo vyanzo vya maji? Nyuzi nyingine muwe mnahusisha hata mashavu kufikiri
Kiufupi hukutakiwa kuleta nyuzi hii mapema hv. Lbda baada ya week moja na nusu. Mvua zimeanza hata week haijaisha bado ww waja kulalamika mkuu?Inabidi zinyeshe mvua ngapi meku?
CCM BILA YA MAGU NI MAVIIIAu inanyesha Dar es Salaam tu huko mikoani hainyeshi?
Bujibuji Simba nyanaume huko Mbeya inanyesha?
Babati hapo Rombo hali ikoje?
Mmawia tujuze kutokea huko Ntwara.
Kibaha je? Kwako Mshana Jr
Na Machame bwashee Daudi Mchambuzu hali ya mvua ikoje huko?
Maendeleo hayana vyama!
Au inanyesha Dar es Salaam tu huko mikoani hainyeshi?
Bujibuji Simba nyanaume huko Mbeya inanyesha?
Babati hapo Rombo hali ikoje?
Mmawia tujuze kutokea huko Ntwara.
Kibaha je? Kwako Mshana Jr
Na Machame bwashee Daudi Mchambuzu hali ya mvua ikoje huko?
Maendeleo hayana vyama!
Unapenda mwenyewe, nunua masufuria na mabeseni mengi ukinge maji, mbona Dawasa wanakinga Ruvu.Au inanyesha Dar es Salaam tu huko mikoani hainyeshi?
Bujibuji Simba nyanaume huko Mbeya inanyesha?
Babati hapo Rombo hali ikoje?
Mmawia tujuze kutokea huko Ntwara.
Kibaha je? Kwako Mshana Jr
Na Machame bwashee Daudi Mchambuzu hali ya mvua ikoje huko?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa miaka yake 5 kitu gani cha ajabu kizuri alikifanya?kama sio kutuletea majanga tu ambayo kuja kuyamaliza kuanzia kwa mtu mmoja hadi kwa taifa ni miaka kibao mbele?utegemee kuongoza nchi kwa kutumia ujanja ujanja na ulaghai kwa 80%?lazima ulete dhahama kwa watu wako!!MUNGU FUNDICCM BILA YA MAGU NI MAVIII
CCM BILA YA MAGU NI MAVIII
Wapiga Dili wamerudi upyaaaaaAu inanyesha Dar es Salaam tu huko mikoani hainyeshi?
Bujibuji Simba nyanaume huko Mbeya inanyesha?
Babati hapo Rombo hali ikoje?
Mmawia tujuze kutokea huko Ntwara.
Kibaha je? Kwako Mshana Jr
Na Machame bwashee Daudi Mchambuzu hali ya mvua ikoje huko?
Maendeleo hayana vyama!
Huyo dogo Hana haja ya kufikiri. Anapokea taarifa kutoka kwenye gazeti la Uhuru.Mvua mbili tatu hizi una uhakika zitakuwa zmejaza hivyo vyanzo vya maji? Nyuzi nyingine muwe mnahusisha hata mashavu kufikiri