Mfatahela Kwesa
Member
- Apr 21, 2017
- 90
- 99
Raha yako inaweza ikawa sio ya mwenzio,ndio maana wengine kuvuta bangi tunapata raha kuliko nyapu.Sasa kuna raha gani kuangalia marudio kwenye TV?
Huwa naona kama ni upuuzi tu, pia inakera kwa wengine, kwa nn usichague Moja?mpira unaotangazwa kwenye radio unawahi kupata matokeo kabla wa kwenye TV kwa hiyo mtu anakua na shauku ya kujua nini kinatokea kabla ya kuona kwenye runinga
Raha yako inaweza ikawa sio ya mwenzio,ndio maana wengine kuvuta bangi tunapata raha kuliko nyapu.
Hii tabia nimeishuhudia huku usukumani,Siku za hivi karibuni kumekuwa na mwamko kwa Watanzania kufuatilia ligi kuu ya hapa nyumbani, ujio wa Azam TV unawakusanya wapenda soka kwenye vibanda umiza hasa zinapocheza SIMBA au YANGA.
Maajabu makubwa ni pale unapomuona mtu kalipia pesa aangalie mpira kwenye TV lakini muda mwingi anautumia kuusikiliza kwenye radio.
Huwa najiuliza tatizo ni nini?
(a) Aamini anachokiona hivyo lazima asikilize na chombo kingine?
(b)Watangazaji wa TV hawana ladha?
(c)Mazoea ya mpira kusikiliza redioni tangu enzi?
Siku za hivi karibuni kumekuwa na mwamko kwa Watanzania kufuatilia ligi kuu ya hapa nyumbani, ujio wa Azam TV unawakusanya wapenda soka kwenye vibanda umiza hasa zinapocheza SIMBA au YANGA.
Maajabu makubwa ni pale unapomuona mtu kalipia pesa raangalie mpira kwenye TV lakini muda mwingi anautumia kuusikiliza kwenye radio.
Huwa najiuliza tatizo ni nini?
(a) Aamini anachokiona hivyo lazima asikilize na chombo kingine?
(b)Watangazaji wa TV hawana ladha?
(c)Mazoea ya mpira kusikiliza redioni tangu enzi?