Inasikitisha sana wazungu wanaposhangaa na kuhuzunika hadi sasa Corona haijaua kwa wingi Waafrika kama Italy na New York

Kwasasa Covid19 ishatukamata maana hatuwezi kuicontrol tena,watu walipuuza baada ya salama na fatuma kutoa movie yao ikiongozwa na director meter_core bashite kwamba covid19 sio issue na producer alivyokuja kumalizia kwamba tupige kazi tu maana huku kwetu haiwafevi virus wa corona.....Tumekuja kustuka kushakucha baada ya covid19 kuichakaza TBCCM.....Kwa Africa upungufu wa kinga ni mwingi sana maana tunaendekeza ngono kwahiyo NGWENGWE + COVID19 ni hatari.
 
Na hili pia litapita. Mungu wetu wa mbinguni atatuvusha salama
Limeshapita tayari na inawauma kichizi walidhani tutapuputika kama Newyork na Italy tena walitabiri lakini nigga mbishi sana
 
Ni kweli mkuu Afrika dini tumeletewa tu lakin waislam na wakristo wa ukweli wamebaki afrika tu waarabu wamebaki na utamaduni tu wa kiislamu wazungu wameukana kabisa uo ukristo kama huamin fanya simple research utajua
Ukiona hivyo basi lengo la walioileta dini zimetimia kwa waafrica.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu syo deus sisi ni ngoma ngumu kunamuda wanatamani kuwa sisi alaf sisi hatujipendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watutabilie kufa wao wa kina Nani? Virusi hivi inaaminika vimetengenezwa marekani Sasa mundu Ana wa show job

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NOTE:
Mpaka sasa kwa Marekani wengi waliokufa na wanaokufa ni waafrika kuliko wazungu.
Pia Mungu sio mbaguzi wa rangi, kama anaweza kutukinga sisi na Corona anaweza kuwakinga na wazungu pia.
NOTE: Waafrika hao ni wale wenye magonjwa kama kisukari na shinikizo la damu. Hawa wengi wana matatizo ya kiafya kwasababu ya maisha wanayoishi na ukandamizwaji wanaofanyiwa.
 
Limeshapita tayari na inawauma kichizi walidhani tutapuputika kama Newyork na Italy tena walitabiri lakini nigga mbishi sana
Wamesogeza siku mbele wanasema wiki mbili zijazo.
 
Weye kama u- mwafrica pure lazima ukifa nikuweke kwenye Jumba la Makumbusho, pale kijijini Mwenge!! lkn sasa hii ni jf haiwezekani, hata sijui kwa nini nawaza na kupenda kukufanyia hivi!! ila unastahili kufanyiwa hivo sana tu!!

Waafrica ndo wayahudi hasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…