Timu hii kali ya Tukuyu Stars ilishiriki kwa mara ya kwanza ligi kuu mwaka 1986 na kuchukua ubingwa.
Timu hii ilitisha bara na visiwani, lakini leo tunapoongea haya inashiriki ligi daraja la nne na inataka eti ipande daraja. Kikubwa na kizuri zaidi bado ina ndoto za kucheza ligi kuu.
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.
Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.
Timu hii kali ya Tukuyu Stars ilishiriki kwa mara ya kwanza ligi kuu mwaka 1986 na kuchukua ubingwa.
Timu hii ilitisha bara na visiwani, lakini leo tunapoongea haya inashiriki ligi daraja la nne na inataka eti ipande daraja. Kikubwa na kizuri zaidi bado ina ndoto za kucheza ligi kuu.
Maponjoro ni waharibifu daima, huja kama malaika wa nuru kumbe ni mashetani kabisa.
Ona manji alichoifanya yanga
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.
Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.
dah! Poleni sana wana Mbeya,Tukuyu stars wana safari ndefu sana
Ninachokifurahia ni kwamba Haijafa!
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.
Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.
Ubabe wa kipindi kile ulikuwaga noma,
Nilishawahi kupita kwenye ule mtaro wa maji machafu, Kufika uwanjani nikakuta sehemu ya kutokea kuna FFU na Mbwa, alafu siwezi kurudi nyuma kwani kulikuwa kuna watu nyuma yangu na kupishana ni ishu, Jamaa akanambia "dogo lete hela au kama vipi naachia mbwa uhangaike nae" nilikua ninajiti Nikampa na akaniruhusu kuingia kazi ilikua kwa jamaa wa nyuma yangu hakuwa na hela ilikua noma, kula virungu mpaka noma!
Memories
Ni kweli kabisa, lile karavati linatokea zilipokuwa zinapaki karandinga. Hata hivyo watoto wa kipindi hicho walikuwa hawaoni shida kuamkia central jumatatu yake..
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.
Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.
Ile ilikuwa ni raha ya kuangalia mpira enzi hizo.
Unalikumbuka jukwaa la makaburu?