Inasikitisha, Tumefikje hapa tulipo na DP World?

Inasikitisha, Tumefikje hapa tulipo na DP World?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Serikali bila kushirikisha wadau wa kisiasa na kiuchumi, imeamua kichwa kichwa kuingia kataba ambao sasa kiukweli unatishia mustakabalai wa nchi.

Serikali
Je, suala lilijadiliwa kwa kupata maelekezo kisiasa?
Je, serikali iliwakutanisha wadau wa kiuchumi kupata ushauri?
Je, serikali ilishirikisha vongozi wengine serikalini kama Mwanasheria Mkuu?
Je. serikali ilivihusisha vyombo vya Ulinzi na Usalama

Mbaya zaidi ,
Je, Serikali iliwahusisha vipi wananchi katika kuingia mkataba?
Je, muhimili mwingine wa Bunge ulihusihwa hata kwakujulishwa tu kuwa serikali inaenda kuingia mkataba ambao sasa ni tata?

Haya maswali mtu yeyote atajiuliza, na kujiuliza,
Je, mpikaji wa huo mkataba ni nani haswa?

Haya maswali lazima aanze kuyajibu mtuhumiwa wa kwanza. Profesa Mbarawa.
 
Serikali bila kushirikisha wadau wa kisiasa na kiuchumi, imeamua kichwa kichwa kuingia kataba ambao sasa kiukweli unatishia mustakabalai wa nchi.

Serikali
Je, suala lilijadiliwa kwa kupata maelekezo kisiasa?
Je, serikali iliwakutanisha wadau wa kiuchumi kupata ushauri?
Je, serikali ilishirikisha vongozi wengine serikalini kama Mwanasheria Mkuu?
Je. serikali ilivihusisha vyombo vya Ulinzi na Usalama

Mbaya zaidi ,
Je, Serikali iliwahusisha vipi wananchi katika kuingia mkataba?
Je, muhimili mwingine wa Bunge ulihusihwa hata kwakujulishwa tu kuwa serikali inaenda kuingia mkataba ambao sasa ni tata?

Haya maswali mtu yeyote atajiuliza, na kujiuliza,
Je, mpikaji wa huo mkataba ni nani haswa?

Haya maswali lazima aanze kuyajibu mtuhumiwa wa kwanza. Profesa Mbarawa.
BREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni taratibu zipi za Manunuzi zilizotumika, mpaka ikatokea hiyo DPW? Na tumejuaje hiyo 27 trillioni ndio pesa ya juu inayoweza kupatikana, kama hakukuwa na competition?? Na haya maneno wanayoongea watu, kama ataongeza mapato kutoka 9 trillion mpaka 27 trillion, na pia atapunguza muda wa meli kukaa bandarini na kusubiri kushusha, kupunguza bei za kusafirisha containers na pia kuleta teknolojia - wameyapata wapi? Maana hatujayaona kwenye mkataba au makubaliano ya nchi na nchi?
 
Hivi ni taratibu zipi za Manunuzi zilizotumika, mpaka ikatokea hiyo DPW? Na tumejuaje hiyo 27 trillioni ndio pesa ya juu inayoweza kupatikana, kama hakukuwa na competition?? Na haya maneno wanayoongea watu, kama ataongeza mapato kutoka 9 trillion mpaka 27 trillion, na pia atapunguza muda wa meli kukaa bandarini na kusubiri kushusha, kupunguza bei za kusafirisha containers na pia kuleta teknolojia - wameyapata wapi? Maana hatujayaona kwenye mkataba au makubaliano ya nchi na nchi?
Hatua nyingi za checks and balances hazijakaa sawa
 
Simply tumefika hapa kwasababu ya kuwa na kiongozi mjinga asiyejali.
 
Serikali bila kushirikisha wadau wa kisiasa na kiuchumi, imeamua kichwa kichwa kuingia kataba ambao sasa kiukweli unatishia mustakabalai wa nchi.

Serikali
Je, suala lilijadiliwa kwa kupata maelekezo kisiasa?
Je, serikali iliwakutanisha wadau wa kiuchumi kupata ushauri?
Je, serikali ilishirikisha vongozi wengine serikalini kama Mwanasheria Mkuu?
Je. serikali ilivihusisha vyombo vya Ulinzi na Usalama

Mbaya zaidi ,
Je, Serikali iliwahusisha vipi wananchi katika kuingia mkataba?
Je, muhimili mwingine wa Bunge ulihusihwa hata kwakujulishwa tu kuwa serikali inaenda kuingia mkataba ambao sasa ni tata?

Haya maswali mtu yeyote atajiuliza, na kujiuliza,
Je, mpikaji wa huo mkataba ni nani haswa?

Haya maswali lazima aanze kuyajibu mtuhumiwa wa kwanza. Profesa Mbarawa.
Mtuhumiwa wa kwanza hapa ni Samia Suluhu Hasan; lakini ninaelewa maana yako ya kumfanya awe Makame Mbarawa.

Ninakubaliana na maswali yote uliyouliza hapa.

Hii ni ishara wazi kwamba nchi yetu tupo watupu kabisa. Vyombo vyote vilivyopo tukidhani vinasimamia maslahi ya nchi na usalama wa nchi hii kumbe ni mapambo tu yaliyopo kama maonyesho.

Inatisha sana kutambua kwamba tuna hali hii ya hatari sana.
 
Simply tumefika hapa kwasababu ya kuwa na kiongozi mjinga asiyejali.
Samahan, mimi nitatofautiana nawe kidogo, ingawa sote kimsingi tunakubaliana kuhusu ubovu wa huyu kiongozi.

Mimi naona huyu ni kiongozi anayejua vizuri sana anachfanya, na si kwa "kutojali"

Huyu anayo nia thabiti kabisa ya kutuelekeza huko anakotupeleka sisi hata bila kutuuliza kama tunaafiki au la.

Huyu ni kiongozi hatari kwa maslahi yetu.
 
BREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wameanza kuua ili kuwatisha wengine, lengo kuwakatisha tamaa, hakika Watanzania wataendelea kutetea rasilimali za taifa lao hawatarudi nyuma hadi kieleweke, maana hawa jamaa wako tayari kuua ili kutimiza lengo lao.
 
Hivi ni taratibu zipi za Manunuzi zilizotumika, mpaka ikatokea hiyo DPW? Na tumejuaje hiyo 27 trillioni ndio pesa ya juu inayoweza kupatikana, kama hakukuwa na competition?? Na haya maneno wanayoongea watu, kama ataongeza mapato kutoka 9 trillion mpaka 27 trillion, na pia atapunguza muda wa meli kukaa bandarini na kusubiri kushusha, kupunguza bei za kusafirisha containers na pia kuleta teknolojia - wameyapata wapi? Maana hatujayaona kwenye mkataba au makubaliano ya nchi na nchi?
ccm mbele kwa mbele
 
Mtuhumiwa wa kwanza hapa ni Samia Suluhu Hasan; lakini ninaelewa maana yako ya kumfanya awe Makame Mbarawa.

Ninakubaliana na maswali yote uliyouliza hapa.

Hii ni ishara wazi kwamba nchi yetu tupo watupu kabisa. Vyombo vyote vilivyopo tukidhani vinasimamia maslahi ya nchi na usalama wa nchi hii kumbe ni mapambo tu yaliyopo kama maonyesho.

Inatisha sana kutambua kwamba tuna hali hii ya hatari sana.
Tafdiri tunaxopewa juu ya huu mtzbaba ni kana tuaingia UTUMWANI KWA HIARI YA WATAWALA.
This is dangerous!
 
Tafdiri tunaxopewa juu ya huu mtzbaba ni kana tuaingia UTUMWANI KWA HIARI YA WATAWALA.
This is dangerus!
Halafu inashangaza, Bunge linabariki!

Katika watu wote wale waliomo Bungeni hakuna hata mmoja wa kutoa tahadhari tuu, hata kama anaogopa kupinga?

Hii nchi yetu imekuwa na watu wa namna gani?
 
Halafu inashangaza, Bunge linabariki!

Katika watu wote wale waliomo Bungeni hakuna hata mmoja wa kutoa tahadhari tuu, hata kama anaogopa kupinga?

Hii nchi yetu imekuwa na watu wa namna gani?

Wabunge wako kwa ajili ya matumbo yao, hakuna mwenye guts za kupinga.
Bunge linahitaji reform
 
BREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunaomba hii taarifa uifungulie uzi
 
Back
Top Bottom