Inasikitisha: Wamemgeuka Mzee Kilomoni kabaki mwenyewe

Inasikitisha: Wamemgeuka Mzee Kilomoni kabaki mwenyewe

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Miaka kama minne au mitatu nyuma mzee Hamis kilomoni alipinga kwa nguvu zote simba kuwekwa chini ya mikono ya watu wachache na ma genius kama sisi tukamuunga sana mkono matokeo yake mzee huyo shujaa aliwekwa ndani na kufukuzwa kundini.

Ona sasa leo simba iko chini ya ma chuplichupli kanjibai haifanyi lolote la maana kazi kuishia tu robo fainali huko CAf enzi ikiwa chini ya wanyonge wanaochangishana ilifika nusu fainali 1974 klabu bingwa.

Mzee kilomoni alipata bahati ya kualikwa kwenye mkutano wa kupitisha bakuli wa yanga uliojulikana kama KUBWA KULIKO mwaka 2019 alipokelewa kwa mbwembwe akapetiwapetiwa mzee wa watu na umati uliokuwa una share views kama zake za kupinga mabadiliko ya kuweka team mikononi mwa wachache maana hizi teams ni za wananchi wanyonge

Fast foward 2022 ule umati umemgeuka kabisa WAMEIKABIDHI TEAM MIKONONI MWA KIKUNDI CHA WATU WASIOZIDI WANNE team iko chini ya wasomali na waarabu siyo ya wananchi tena.

Vision ya mzee kilomoni imekufa rasmi ni dhahiri tu walimchekea kinafiki siku ile.

kilomoni.JPG
 
Mzee kilomoni anaishi block 41 , atakuwa anatesekea kulekule, usaliti aliofanyiwa na waliomualika kwenye kubwa kuliko ili kumuunga mkono si wa kawaida, wamekengeuka kabisa
Mkuu ,hawa jamaa ni vigeugeu Sana kiufupi hawaaminiki. Morisson alipohamia simba walimbandika majina mengi Sana kama vile kachupi , mwizi wa magari n.k.
Manara akiwa simba alibandikwa majina ya kila aina.

Lakini leo hii wako utopoloni kila utopolo anawapamba.
 
Kilomoni hana hata uwezo wa kununua maji ya kunywa ya wachezaji sikwambii usajili na mishahara.
Simba wamelamba bilioni mbili mauzo ya jezi kutoka kwa Vunja bei,je'gsm katoa kiasi gani mauozo ya jezi za Utopolo?
 
Mkuu ,hawa jamaa ni vigeugeu Sana kiufupi hawaaminiki. Morisson alipohamia simba walimbandika majina mengi Sana kama vile kachupi , mwizi wa magari n.k.
Manara akiwa simba alibandikwa majina ya kila aina.

Lakini leo hii wako utopoloni kila utopolo anawapamba.
Mkuu hili ni kawaida kwa timu za kariakoo. Kibaya kikiwa cha mwenzio ila kikiwa ni cha kwako ni kizuri. Huyo huyo Morrison alivyokuwa Yanga aliitwa majina mengi na Simba kuwa ni mwizi wa magari, hana namba hata kwenye sub lakini alivyochukuliwa Simba hakuna aliyerudia tena kumsema vibaya zaidi ya sifa nzuri na jina la wakili msomi akalipata. Ila kwa Yanga ikawa ni kinyume chake
 
Back
Top Bottom