Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Kamanda wa Polisi Kaunti ndogo ya Mashariki,Kenya Joseph Yakan alithibitisha kisa hicho, na kuongeza kuwa waumini wa Kanisa Katoliki la Mwingi walikuwa wakielekea harusini.
Katika video,jana jumamosi dec 4,2021,basi hilo lilijaribu kupita daraja lililofurika maji kwa usaidizi wa wakazi.
Baada ya dakika chache,basi hilo lilionekana likihangaika kusogeza magurudumu yake kwa vile mawimbi ya maji yalikuwa makali sana hivyo kulipeleka mtoni.
Waumini wa Kanisa Katoliki la Mwingi walikuwa wakielekea harusini.
Bus lilikuwa na takrabani watu 30,ajali ilipotokea saa moja asubuhi katika kijiji cha Ngune,Mwingi ya kati.
Katika video,jana jumamosi dec 4,2021,basi hilo lilijaribu kupita daraja lililofurika maji kwa usaidizi wa wakazi.
Baada ya dakika chache,basi hilo lilionekana likihangaika kusogeza magurudumu yake kwa vile mawimbi ya maji yalikuwa makali sana hivyo kulipeleka mtoni.
Waumini wa Kanisa Katoliki la Mwingi walikuwa wakielekea harusini.
Bus lilikuwa na takrabani watu 30,ajali ilipotokea saa moja asubuhi katika kijiji cha Ngune,Mwingi ya kati.