Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Nina experience na uwindaji….
Mkuu usichofahamu ni Kuwa kila mwaka huwa kunatoka permit za kuwinda wanyama kadhaa. Na permit hiyo huwa inazingatia Idadi husika ya wanyama hao kwa mujibu wa sensa ya pori husika.
Wawindaji wote huwa wanatakiwa kuingia porini wakiwa wamefuatana na game rangers na baada ya mawindo huriport kwa office ambapo office hukagua kuona kuwa only wanyama waliopo kwenye kibali ndio waliowindwa
Kwa Maneno hayo, ondoa Shaka mkuu wanyama hawataisha maana mamlaka zetu zinasimamia taratibu za uwindaji endelevu
Kwa nini wauwe simba tena kwa kujifurahisha tu kisa pesa au kuenjoy kuua???Kama ni pesa si tutafute vyanzo vingine vya mapato?Simba wenyewe wachache hawa...Mkuu, Nina experience na uwindaji….
Mkuu usichofahamu ni Kuwa kila mwaka huwa kunatoka permit za kuwinda wanyama kadhaa. Na permit hiyo huwa inazingatia Idadi husika ya wanyama hao kwa mujibu wa sensa ya pori husika.
Wawindaji wote huwa wanatakiwa kuingia porini wakiwa wamefuatana na game rangers na baada ya mawindo huriport kwa office ambapo office hukagua kuona kuwa only wanyama waliopo kwenye kibali ndio waliowindwa
Kwa Maneno hayo, ondoa Shaka mkuu wanyama hawataisha maana mamlaka zetu zinasimamia taratibu za uwindaji endelevu
Mkuu, Simba Hana natural predator huko mwituni….wakiachwa tu itaanza kuwa tabu kwa wanyama wengine plus binadamu.Kwa nini wauwe simba tena kwa kujifurahisha tu kisa pesa au kuenjoy kuua???Kama ni pesa si tutafute vyanzo vingine vya mapato?Simba wenyewe wachache hawa...
Wawache nature ichukue mkondo wake...na nature imekuwa ikifanya hivyo for hundreds of years.Binafamu tu waharibifu sana
Uzi ufungwe hili ndio jibu...Nyi kama mnaona hao wanawinda bila maelekezo...Wewe nenda mikumi uue hata fisi ndio utajua serikali inalinda wanyama au hailindi.Mkuu, Nina experience na uwindaji….
Mkuu usichofahamu ni Kuwa kila mwaka huwa kunatoka permit za kuwinda wanyama kadhaa. Na permit hiyo huwa inazingatia Idadi husika ya wanyama hao kwa mujibu wa sensa ya pori husika.
Wawindaji wote huwa wanatakiwa kuingia porini wakiwa wamefuatana na game rangers na baada ya mawindo huriport kwa office ambapo office hukagua kuona kuwa only wanyama waliopo kwenye kibali ndio waliowindwa
Kwa Maneno hayo, ondoa Shaka mkuu wanyama hawataisha maana mamlaka zetu zinasimamia taratibu za uwindaji endelevu
Amazing: How Do American Hunters And Farmers Deal With Million Of Wild Boar And Lion By Guns.
Baada ya Miaka 20 Tanzania kutakuwa hakuna Simba.Watalii Wakija sijuwi watakuja kuona kitu gani? hatari sana.
View:
Amazing: How Do American Hunters And Farmers Deal With Million Of Wild Boar And Lion By Guns.
Baada ya Miaka 20 Tanzania kutakuwa hakuna Simba.Watalii Wakija sijuwi watakuja kuona kitu gani? hatari sana.
View:
Amazing: How Do American Hunters And Farmers Deal With Million Of Wild Boar And Lion By Guns.
Baada ya Miaka 20 Tanzania kutakuwa hakuna Simba.Watalii Wakija sijuwi watakuja kuona kitu gani? hatari sana.
View:
Hujui kitu, soma kujifunzaKwa nini wauwe simba tena kwa kujifurahisha tu kisa pesa au kuenjoy kuua???Kama ni pesa si tutafute vyanzo vingine vya mapato?Simba wenyewe wachache hawa...
Wawache nature ichukue mkondo wake...na nature imekuwa ikifanya hivyo for hundreds of years.Binafamu tu waharibifu sana
Mkuu kwani ukiwa na wengi ndio huweI kuwaua?Uwongo mtupu huu kuichafua nchi. Tanzania ndiyo nchi ya kwanza yenye simba wengi duniani. Ni kwamba nusu ya simba wote walio hai wanapatikana Tanzania. Tungekuwa tunawaua hovyo tusingekuwa na takwimu hiyo.
Watanzania muwe careful katika kutumika na Wakenya.
View attachment 3069403
Asante Mkuu! Hofu ya wengi ni kutosahau taarifa za twiga kutoroshwa kupitia KIA kwenda Uraabuni.Mkuu, Nina experience na uwindaji….
Mkuu usichofahamu ni Kuwa kila mwaka huwa kunatoka permit za kuwinda wanyama kadhaa. Na permit hiyo huwa inazingatia Idadi husika ya wanyama hao kwa mujibu wa sensa ya pori husika.
Wawindaji wote huwa wanatakiwa kuingia porini wakiwa wamefuatana na game rangers na baada ya mawindo huriport kwa office ambapo office hukagua kuona kuwa only wanyama waliopo kwenye kibali ndio waliowindwa
Kwa Maneno hayo, ondoa Shaka mkuu wanyama hawataisha maana mamlaka zetu zinasimamia taratibu za uwindaji endelevu
Tembo ndio hasara wawamalize. simba na tiger waachwe.Simba na Tiger hawana faida yoyote zaidi ya hasara.
Tembo wanakula mazao na kuua watu. Tumefuga vitu visivyo na faidaTembo ndio hasara wawamalize. simba na tiger waachwe.
Amazing: How Do American Hunters And Farmers Deal With Million Of Wild Boar And Lion By Guns.
Baada ya Miaka 20 Tanzania kutakuwa hakuna Simba.Watalii Wakija sijuwi watakuja kuona kitu gani? hatari sana.
View:
Hili linahitaji professionals wa wildlife wakujibu. All in all soma post # 2 na namba 7 ya Kamanda Moshi amejibu.Mkuu kwani ukiwa na wengi ndio huweI kuwaua?
Hili linahitaji professionals wa wildlife wakujibu. All in all soma post # 2 na namba 7 ya Kamanda Moshi amejibu.
Tusipende kupinga kila kitu kwa ajili ya kuinanga nchi yetu