Mkuu sijafanya research indeed.. Lkn kutafuta huku kuna advantage moja tu kubwa.. Nayo ni kumpata mtu ambaye yupo tayari kabisa... Ko mkielewana vzr nadhan ndo hiyo serious nayoisema coz wote mlikuwa mnahitaji.... Dat y mtu hatujuan lkn bado inaonesha mwitikio ko userious lzm utakuwepo tu, mathalan chuon naona huku itatakiwa uwe na hela kulinda penzi japo simanishi huku kwingin hazihusik ila kilichowaunganisha haiwi pesa and the likes.....Huko chuoni wote hawako serious?
Noted chief.Mkuu sijafanya research indeed.. Lkn kutafuta huku kuna advantage moja tu kubwa.. Nayo ni kumpata mtu ambaye yupo tayari kabisa... Ko mkielewana vzr nadhan ndo hiyo serious nayoisema coz wote mlikuwa mnahitaji.... Dat y mtu hatujuan lkn bado inaonesha mwitikio ko userious lzm utakuwepo tu, mathalan chuon naona huku itatakiwa uwe na hela kulinda penzi japo simanishi huku kwingin hazihusik ila kilichowaunganisha haiwi pesa and the likes.....
Mkuu relate miaka yang na hayo unayoyasema ya kuwa unseroius na kuwatesa wengi... Pia zingatia sisi watoto wa kiume tunachelwa kidogo haya mambo tofauti ke..... Lkn pia Aina ya familia tunazokulia zinashape kuhusu haya mambo..... Kwa miaka hiyo niliotaja nikikutajia wanawake niliowai kuwa nao huenda usiamin lkn ndo ukweli..... Sijawai kuumiza mtu inshortBaada ya kuwa unserious kwenye mahusiano kwa miaka mingi na kuwatesa wengi sasa hivi unataka seriously relationship!!.......Mungu anakuona!!.....you won't make it,believe me!!
Mkopo Upo ndio lkn apart from mkopo...... Malengo yake ni kuandaa mtu wa kuoa kabisa dat y nimetumia seriously relationship pia kushauliana, more than kuwa wapenzi lkn ule urafiki, kuongozana Ken mambo tofauti tofauti accordingly to world challenges...Una mkopo wewe mtoto wa chuo...
Malengo ya mahusiano unayosema ni serious ni yapi?
kwa hiyo wewe huna pesa.....alafu unahitaji serious relation duh...kasome kwanza hiyo kozi kwanza haina soko la ajira...nishida tu unataka kuongeza matatizo acha mkumbo wewe mtoto wamkulima .Mkuu sijafanya research indeed.. Lkn kutafuta huku kuna advantage moja tu kubwa.. Nayo ni kumpata mtu ambaye yupo tayari kabisa... Ko mkielewana vzr nadhan ndo hiyo serious nayoisema coz wote mlikuwa mnahitaji.... Dat y mtu hatujuan lkn bado inaonesha mwitikio ko userious lzm utakuwepo tu, mathalan chuon naona huku itatakiwa uwe na hela kulinda penzi japo simanishi huku kwingin hazihusik ila kilichowaunganisha haiwi pesa and the likes.....
Mpaka nilipofikia najua kuchanganua baya na zuri mkuu... Ko huo mkumbo unaousema sijui unakujaje hapa? Lkn pia umeonesha fikra mgando kwa kuamini kwamba mi nategemea kuajiriwa nkimaliza chuo.. Pia hunijui ko guessing zako hazina mana yeyote hapa.... Lkn hata ningekuwa mtoto wa mkulima Kwan siruhusiw kuwa Ken mahusiano?kwa hiyo wewe huna pesa.....alafu unahitaji serious relation duh...kasome kwanza hiyo kozi kwanza haina soko la ajira...nishida tu unataka kuongeza matatizo acha mkumbo wewe mtoto wamkulima .