Inatarajiwa kuwa watalii 10,000 kutoka jiji la Shangai China watakuja nchini mnano mwaka 2019

Mathayo Fungo

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2018
Posts
319
Reaction score
511
Inatarajiwa kuwa watalii 10,000 kutoka jiji la Shangai China watakuja nchini mnano mwaka 2019 baada ya makubaliano yaliyofanywa na kampuni ya Touchroad International Group ya nchini humo na bodi ya utalii nchini (TTB).

 
nimeishi nchi zote za Africa Mashariki lakini sijawahi ona Mchina anakuja kwa ajiri ya Utalii................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…