Inatisha!Serikali jipangeni kuepusha maafa!

Inatisha!Serikali jipangeni kuepusha maafa!

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,197
Kwa umati huo pale uwanja wa Taifa kwenye Kongamano la Wananchi lihusulo Klabu ya mpira wa miguu ya Yanga lazima Serikali iingilie kati kwani umati ule hautoshi kuenea hata kwa viwanja viwili kama kile cha Taifa.

Kwa ninachokishuhudia sasa pale Uwanja wa Taifa siyo ni halaiki ambayo haijawahi kuwepo Jumuiko kama lile popote pale Ndani ya Afrika yetu.

Ama kweli Yanga ni Timu ya Wananchi.

Inatisha!
 
Kila la heri Kwasukwasu FC! 🐸🐸 🐸
 
Yanga Bariidii
Haina Uwezo Wa Kujaza Uwanja Wa Taifa
Labda Wajaze Mitungi Ya Taifa Gas Limited Hapo Uwanjani.
Serikali Ya Viwanda Haiwezi Kuingilia Mambo Ya Yanga Bariidii Haina Mvuto 😂😁😀😃😄😅
 
Yanga Bariidii
Haina Uwezo Wa Kujaza Uwanja Wa Taifa
Labda Wajaze Mitungi Ya Taifa Gas Limited Hapo Uwanjani.
Serikali Ya Viwanda Haiwezi Kuingilia Mambo Ya Yanga Bariidii Haina Mvuto 😂😁😀😃😄😅
Karibu uje ushuhudie halaiki kubwa ambalo halijawahi kutokea hahahahaha!
 
Weka na picha sasa tuone
Kwa umati huo pale uwanja wa Taifa kwenye Kongamano la Wananchi lihusulo Klabu ya mpira wa miguu ya Yanga lazima Serikali iingilie kati kwani umati ule hautoshi kuenea hata kwa viwanja viwili kama kile cha Taifa.

Kwa ninachokishuhudia sasa pale Uwanja wa Taifa siyo ni halaiki ambayo haijawahi kuwepo Jumuiko kama lile popote pale Ndani ya Afrika yetu.

Ama kweli Yanga ni Timu ya Wananchi.

Inatisha!
 
Sasa unapoleta taarifa inayohtaji vilelezo huku haina picha unataka tukueleweje? Au wananchi hampigwi picha?
 
Kwa umati huo pale uwanja wa Taifa kwenye Kongamano la Wananchi lihusulo Klabu ya mpira wa miguu ya Yanga lazima Serikali iingilie kati kwani umati ule hautoshi kuenea hata kwa viwanja viwili kama kile cha Taifa.

Kwa ninachokishuhudia sasa pale Uwanja wa Taifa siyo ni halaiki ambayo haijawahi kuwepo Jumuiko kama lile popote pale Ndani ya Afrika yetu.

Ama kweli Yanga ni Timu ya Wananchi.

Inatisha!

Exaggeration ya ajabu!
 
Mikia fc bana mpaka yamewashuka, aibu yenu, au hamwajui yanga nyie, ndio timu yenye mashabiki wengi tz, na east Africa,ngoja simba day yenu awalipie moo,mjaze uwanja rangi kama damu, dah
 
Back
Top Bottom