Inatisha!Serikali jipangeni kuepusha maafa!

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,197
Kwa umati huo pale uwanja wa Taifa kwenye Kongamano la Wananchi lihusulo Klabu ya mpira wa miguu ya Yanga lazima Serikali iingilie kati kwani umati ule hautoshi kuenea hata kwa viwanja viwili kama kile cha Taifa.

Kwa ninachokishuhudia sasa pale Uwanja wa Taifa siyo ni halaiki ambayo haijawahi kuwepo Jumuiko kama lile popote pale Ndani ya Afrika yetu.

Ama kweli Yanga ni Timu ya Wananchi.

Inatisha!
 
Watu hawana kazi za kufanya bora waende tuu huko sio kwamba ni washabiki hapana wengine wameenda kupunguza stress za maisha
 
Kila la heri Kwasukwasu FC! 🐸🐸 🐸
 
Yanga Bariidii
Haina Uwezo Wa Kujaza Uwanja Wa Taifa
Labda Wajaze Mitungi Ya Taifa Gas Limited Hapo Uwanjani.
Serikali Ya Viwanda Haiwezi Kuingilia Mambo Ya Yanga Bariidii Haina Mvuto πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
 
Yanga Bariidii
Haina Uwezo Wa Kujaza Uwanja Wa Taifa
Labda Wajaze Mitungi Ya Taifa Gas Limited Hapo Uwanjani.
Serikali Ya Viwanda Haiwezi Kuingilia Mambo Ya Yanga Bariidii Haina Mvuto πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
Karibu uje ushuhudie halaiki kubwa ambalo halijawahi kutokea hahahahaha!
 
Weka na picha sasa tuone
 
Sasa unapoleta taarifa inayohtaji vilelezo huku haina picha unataka tukueleweje? Au wananchi hampigwi picha?
 

Exaggeration ya ajabu!
 
wenye baa pembeni hawajamaliza hata crate 20 wanasubiri simba day wafanye biashara
 
Mikia fc bana mpaka yamewashuka, aibu yenu, au hamwajui yanga nyie, ndio timu yenye mashabiki wengi tz, na east Africa,ngoja simba day yenu awalipie moo,mjaze uwanja rangi kama damu, dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…