Inatisha: Tatizo la kulala na kushindwa kuamka japokuwa macho yamefumbua na akili ipo sawa sawa!!

Kiukweli mimi nikilalari mgongo, huwa naota ndoto hatari sana, mara naota nimekufa, mara naota nimepigiliwa msalaba mgongoni, mara nipo mlimani kileleni nimeachiliwa kutoka huko kileleni na shuka chini, hapa kwenye kuamka sasa huwa nachukua hata zaidi ya dakika kumi huku nahangaika kuamka.

Yani nikilala kutazama juu, ndoto zangu ni kuzimu tuhhh,sijawahi ota la maaana hata siku moja
 
Hii hali inanipata sana mimi. Mwanzo nilikuwa nahisi sasa malaika mtoa roho Anafanya kazi yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naogopa balaa

Ila kwa sasa huwa natulia tuli huku naomba dua tu basi baada ya muda narudi kwenye hali ya kawaida
Leo usiku tu imenikuta yaan imekua sehem ya maisha yangu na silali kimgongo mgongo.
 
Hiyo ni stage tuu ya mwenda astral wala mleta mada asiwatishe cjui umepalalize ww tulia pale ondoa hofu jua ipo kiroho alaf jaribu kuamka kiroho utaona mwili unabak pale kitandan na ww unaenda kutalii sehem mbali mbali za dunia

note kwa mara ya kwanza utasikia maumivu flan ya ganz lakin ukishazoea yataisha
 
Hali hiyo ipo ila mtoa mada amepotosha mengi, tatizo hili limewahi kuelezwa hapa miaka kama 4 iliyopita pekueni nyuzi za nyuma mtakuta likielezwa kitaalamu na namna ya ku overcome.
 
nmekutana nayo mara nyingi hasa nikilala hvyo cha ajabu kuna siku nikawa naomba niachiwe ndio ikabana zaidi yaan
 
Hii kitu hunikumba mara nyingi yan af kila nikirudi kwenye ufahamu kweli najikuta nimelalia mgongo

Ni hali ya kuogovya sana maana ata upigeje kelele usikiki mara nyingi inabid kuomba kwa imani sana uwapo kwenye hyo hali
 
Dawa ya hali hii ni kusali kabla na baada ya kuamka.kwa wale wakristo safi wanajua wakiwa ktk hali hiyo roho mtakatifu huwapa nguvu ya kukemea bila hata wao kujishughulisha sana ghafla hali hiyo inatoweka.
 
Mimi ni kilalia mgongo huwa sipati usingizi kabisa yaani naweza kesha sijui kwanini
 
Hili wala sio tatizo ni hali ya kawaida na sio lazima ulale kimgongo ndo ikutokee
Ikikutokea wala usipanic tulia tu ndani ya sekunde 10-15 unakua poa tu..
Binafsi ishanitokea sana

Cc mshana jr
Cc rakims
 
Hii imenitokea juzi tuu, nilikuwa nnasali nnahisi my rib ananisikia, ninakumbuka kumuita kabisa na kuongea nae cha ajabu ninakuja kumuuliza asubuhi
 
Unajua MUNGU alivyotuumba alijua tu itafika kipindi tutamkana(hatutatambua uwepo wake) hivyo ilibidi atuwekee vitu/matukio ambayo ni lazima utatambua uwepo wake...(lazima utatambua kuwa Mungu yupo)
 
hiyo ya kupaa hata mimi hunitokea sana,
yaani badala ya kutembea,unapaa at will,huku ukiwa upright
 
hiyo ya kupaa hata mimi hunitokea sana,
yaani badala ya kutembea,unapaa at will,huku ukiwa upright
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…