Very goodHiyo ni stage tuu ya mwenda astral wala mleta mada asiwatishe cjui umepalalize ww tulia pale ondoa hofu jua ipo kiroho alaf jaribu kuamka kiroho utaona mwili unabak pale kitandan na ww unaenda kutalii sehem mbali mbali za dunia
note kwa mara ya kwanza utasikia maumivu flan ya ganz lakin ukishazoea yataisha
Ni balaa shem,.unajihisi nusu hai nusu mfu...[emoji23]Kuna sku bhana ilinipata hii nikawa najua ndio nimeaga dunia. It was quick but scarry [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni balaa shem,.unajihisi nusu hai nusu mfu...[emoji23]
Hii hali sasahiv ikinitokea tena sipati presha najua tuu nitaamka kwa imani,.ila kuna siku kama dk zilizidi hivi,. weeee nikaanza kuungama kimoyo moyo,maana hata mdomo haufunguki nikajua siku ya parapanda imefika[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bas nilianza hadi kukumbuka nlivo kuwa mtoto nikawa nawaza ndugu zangu
Nilikua ndio nsha epa.
Ila kila kitu kilikuwa harakaa
Hilo sio tatizo bali ni stage ya kutoka out kiroho huku ukiwa unajitambua
Kwa lugha nyepesi ni stage muhimu sana kuelekea kutoka nje ya mwili(astral projection)
Ni nzuri sana ukiweza kuicontral
Jiongeze uweze kutalii mahali popote duniani na hata ulimwenguni
Yaani ukuamka kiroho unaacha mwili pale then unaenda kutaliiHiyo ni stage tuu ya mwenda astral wala mleta mada asiwatishe cjui umepalalize ww tulia pale ondoa hofu jua ipo kiroho alaf jaribu kuamka kiroho utaona mwili unabak pale kitandan na ww unaenda kutalii sehem mbali mbali za dunia
note kwa mara ya kwanza utasikia maumivu flan ya ganz lakin ukishazoea yataisha
Nikimwita yesu mtakatifu huwa nakua huruDawa ya hali hii ni kusali kabla na baada ya kuamka.kwa wale wakristo safi wanajua wakiwa ktk hali hiyo roho mtakatifu huwapa nguvu ya kukemea bila hata wao kujishughulisha sana ghafla hali hiyo inatoweka.
Hofu yako na yale mawazo unayoyapa kipaombele ndio tatizo!Hakuna kujingezea mkuu, ukifanya mchezo unaweza kuwa chizi. Nilijiongezea nikahisi nimehamia dubai ni habari ndevu yani unatoka kabisa kwenye akili yako tatizo lipo kwenye kurudi. Kwangu ni mtihani nimetokewa na mambo mengi.
NdioYaani ukuamka kiroho unaacha mwili pale then unaenda kutalii
Mchezo wa hatari huoHilo sio tatizo bali ni stage ya kutoka out kiroho huku ukiwa unajitambua
Kwa lugha nyepesi ni stage muhimu sana kuelekea kutoka nje ya mwili(astral projection)
Ni nzuri sana ukiweza kuicontral
Jiongeze uweze kutalii mahali popote duniani na hata ulimwenguni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii hali sasahiv ikinitokea tena sipati presha najua tuu nitaamka kwa imani,.ila kuna siku kama dk zilizidi hivi,. weeee nikaanza kuungama kimoyo moyo,maana hata mdomo haufunguki nikajua siku ya parapanda imefika[emoji23] [emoji23]
Mchezo wa hatari huoHiyo ni stage tuu ya mwenda astral wala mleta mada asiwatishe cjui umepalalize ww tulia pale ondoa hofu jua ipo kiroho alaf jaribu kuamka kiroho utaona mwili unabak pale kitandan na ww unaenda kutalii sehem mbali mbali za dunia
note kwa mara ya kwanza utasikia maumivu flan ya ganz lakin ukishazoea yataisha
Mzuri sana, kwanza unaongeza furaha ya maisha pamoja na hekimaMchezo wa hatari huo
Hofu yako na yale mawazo unayoyapa kipaombele ndio tatizo!
Ukishatoka nje ya mwili kama ni mara yako ya kwanza usiende mbali sana mkuu
Kadri utakavyokuwa mzoefu ndivyo utagundua mengi na kwenda mbali zaidi kadri utakavyoongoza mawazo yako
Jiamini wewe ni zaidi ya binadamu.
Ukitaka kurudi ndani ya mwili wako wewe ukumhuke tu huo nwili ghafla utajikuta umerudi au tumia kidole cha mkono kugonga kwenywe paji lako la uso kwa kutumia hisia utarudi selunde hiyohiyo.
Ulijihisi upo dubai alafu unamaind? [emoji2]
Acha umeza matango ya mshana jr wewe....fanya mambo yakoau unatoka, unaona mwili wako umelala pale, unaona watu wanapita ukitaka kurudi kwenye mwili wako ndipo mtihani unapoanza...ipo hii ya kujiona una uwezo wa kupaa hii hunikuta sana, naweza ingia ktk mishe nikafanikisha michongo flani, nikiwa napaa, afu ukijastuka uko kwa sofa tena mchana labda ama usiku, ila sasa nikifuatilia kama itatokea nikakumbuka kilichotokea wakati niko katika ile hali basi mambo huwa supa...mimi pia nimehangaika kuhusu hili lakini bado sijapata jibu la kuridhisha
Haya yalikutokea real world au astral plane?Mkuu dubai nikakodiwa nyumba na mshara mnono.
Nyengine ilinitokea ya watoto wangu niliwaona kama wamerudi kuwa wadogo na mimi ikawa hawanioni. Hii ilinihuzunisha sana.na ikabidi wapelekwe ujerumani kwenda kutibiwa lakin hawakufanikiwa tiba.
Lakin kwanini kwangu inakaa sana inaweza kufika sa1 mpaka naumia. Saiv sijaribu tena chochote nina mengi.
Haya yalikutokea real world au astral plane?
Aisee! mimi hiyo hapana man.Sio ndoto niko kama nimekaa tu nimetulia kwa mda. Watu wanakuwepo wanaongea yao mara nyingine inanitokea. Lakini huwa siwezi kufanya chochote naendelea kutulia mpaka nione move yote inavomalizia.