Inatisha: Tatizo la kulala na kushindwa kuamka japokuwa macho yamefumbua na akili ipo sawa sawa!!

Inatisha: Tatizo la kulala na kushindwa kuamka japokuwa macho yamefumbua na akili ipo sawa sawa!!

Hiyo ni stage tuu ya mwenda astral wala mleta mada asiwatishe cjui umepalalize ww tulia pale ondoa hofu jua ipo kiroho alaf jaribu kuamka kiroho utaona mwili unabak pale kitandan na ww unaenda kutalii sehem mbali mbali za dunia

note kwa mara ya kwanza utasikia maumivu flan ya ganz lakin ukishazoea yataisha
Very good
 
Ni balaa shem,.unajihisi nusu hai nusu mfu...[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bas nilianza hadi kukumbuka nlivo kuwa mtoto nikawa nawaza ndugu zangu
Nilikua ndio nsha epa.
Ila kila kitu kilikuwa harakaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bas nilianza hadi kukumbuka nlivo kuwa mtoto nikawa nawaza ndugu zangu
Nilikua ndio nsha epa.
Ila kila kitu kilikuwa harakaa
Hii hali sasahiv ikinitokea tena sipati presha najua tuu nitaamka kwa imani,.ila kuna siku kama dk zilizidi hivi,. weeee nikaanza kuungama kimoyo moyo,maana hata mdomo haufunguki nikajua siku ya parapanda imefika[emoji23] [emoji23]
 
Hilo sio tatizo bali ni stage ya kutoka out kiroho huku ukiwa unajitambua
Kwa lugha nyepesi ni stage muhimu sana kuelekea kutoka nje ya mwili(astral projection)
Ni nzuri sana ukiweza kuicontral
Jiongeze uweze kutalii mahali popote duniani na hata ulimwenguni

Hakuna kujingezea mkuu, ukifanya mchezo unaweza kuwa chizi. Nilijiongezea nikahisi nimehamia dubai ni habari ndevu yani unatoka kabisa kwenye akili yako tatizo lipo kwenye kurudi. Kwangu ni mtihani nimetokewa na mambo mengi.
 
Imeshanikuta sana. Nashindwa kuamka huku naona mikono inakuwa mizito. Naomba dua baada ya muda naweza kujiachia
 
Hio kitu imewahi nikutaw hasa nikilala bila maombi lakini nikiomba mambo yanakuwa sawa
 
Hiyo ni stage tuu ya mwenda astral wala mleta mada asiwatishe cjui umepalalize ww tulia pale ondoa hofu jua ipo kiroho alaf jaribu kuamka kiroho utaona mwili unabak pale kitandan na ww unaenda kutalii sehem mbali mbali za dunia

note kwa mara ya kwanza utasikia maumivu flan ya ganz lakin ukishazoea yataisha
Yaani ukuamka kiroho unaacha mwili pale then unaenda kutalii
 
Dawa ya hali hii ni kusali kabla na baada ya kuamka.kwa wale wakristo safi wanajua wakiwa ktk hali hiyo roho mtakatifu huwapa nguvu ya kukemea bila hata wao kujishughulisha sana ghafla hali hiyo inatoweka.
Nikimwita yesu mtakatifu huwa nakua huru
 
Hakuna kujingezea mkuu, ukifanya mchezo unaweza kuwa chizi. Nilijiongezea nikahisi nimehamia dubai ni habari ndevu yani unatoka kabisa kwenye akili yako tatizo lipo kwenye kurudi. Kwangu ni mtihani nimetokewa na mambo mengi.
Hofu yako na yale mawazo unayoyapa kipaombele ndio tatizo!
Ukishatoka nje ya mwili kama ni mara yako ya kwanza usiende mbali sana mkuu
Kadri utakavyokuwa mzoefu ndivyo utagundua mengi na kwenda mbali zaidi kadri utakavyoongoza mawazo yako
Jiamini wewe ni zaidi ya binadamu.
Ukitaka kurudi ndani ya mwili wako wewe ukumhuke tu huo nwili ghafla utajikuta umerudi au tumia kidole cha mkono kugonga kwenywe paji lako la uso kwa kutumia hisia utarudi selunde hiyohiyo.

Ulijihisi upo dubai alafu unamaind? [emoji2]
 
Hilo sio tatizo bali ni stage ya kutoka out kiroho huku ukiwa unajitambua
Kwa lugha nyepesi ni stage muhimu sana kuelekea kutoka nje ya mwili(astral projection)
Ni nzuri sana ukiweza kuicontral
Jiongeze uweze kutalii mahali popote duniani na hata ulimwenguni
Mchezo wa hatari huo
 
Hii hali sasahiv ikinitokea tena sipati presha najua tuu nitaamka kwa imani,.ila kuna siku kama dk zilizidi hivi,. weeee nikaanza kuungama kimoyo moyo,maana hata mdomo haufunguki nikajua siku ya parapanda imefika[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hiyo ni stage tuu ya mwenda astral wala mleta mada asiwatishe cjui umepalalize ww tulia pale ondoa hofu jua ipo kiroho alaf jaribu kuamka kiroho utaona mwili unabak pale kitandan na ww unaenda kutalii sehem mbali mbali za dunia

note kwa mara ya kwanza utasikia maumivu flan ya ganz lakin ukishazoea yataisha
Mchezo wa hatari huo
 
Hofu yako na yale mawazo unayoyapa kipaombele ndio tatizo!
Ukishatoka nje ya mwili kama ni mara yako ya kwanza usiende mbali sana mkuu
Kadri utakavyokuwa mzoefu ndivyo utagundua mengi na kwenda mbali zaidi kadri utakavyoongoza mawazo yako
Jiamini wewe ni zaidi ya binadamu.
Ukitaka kurudi ndani ya mwili wako wewe ukumhuke tu huo nwili ghafla utajikuta umerudi au tumia kidole cha mkono kugonga kwenywe paji lako la uso kwa kutumia hisia utarudi selunde hiyohiyo.

Ulijihisi upo dubai alafu unamaind? [emoji2]

Mkuu dubai nikakodiwa nyumba na mshara mnono.

Nyengine ilinitokea ya watoto wangu niliwaona kama wamerudi kuwa wadogo na mimi ikawa hawanioni. Hii ilinihuzunisha sana.na ikabidi wapelekwe ujerumani kwenda kutibiwa lakin hawakufanikiwa tiba.

Lakin kwanini kwangu inakaa sana inaweza kufika sa1 mpaka naumia. Saiv sijaribu tena chochote nina mengi.
 
au unatoka, unaona mwili wako umelala pale, unaona watu wanapita ukitaka kurudi kwenye mwili wako ndipo mtihani unapoanza...ipo hii ya kujiona una uwezo wa kupaa hii hunikuta sana, naweza ingia ktk mishe nikafanikisha michongo flani, nikiwa napaa, afu ukijastuka uko kwa sofa tena mchana labda ama usiku, ila sasa nikifuatilia kama itatokea nikakumbuka kilichotokea wakati niko katika ile hali basi mambo huwa supa...mimi pia nimehangaika kuhusu hili lakini bado sijapata jibu la kuridhisha
Acha umeza matango ya mshana jr wewe....fanya mambo yako
 
Mkuu dubai nikakodiwa nyumba na mshara mnono.

Nyengine ilinitokea ya watoto wangu niliwaona kama wamerudi kuwa wadogo na mimi ikawa hawanioni. Hii ilinihuzunisha sana.na ikabidi wapelekwe ujerumani kwenda kutibiwa lakin hawakufanikiwa tiba.

Lakin kwanini kwangu inakaa sana inaweza kufika sa1 mpaka naumia. Saiv sijaribu tena chochote nina mengi.
Haya yalikutokea real world au astral plane?
 
Sio ndoto niko kama nimekaa tu nimetulia kwa mda. Watu wanakuwepo wanaongea yao mara nyingine inanitokea. Lakini huwa siwezi kufanya chochote naendelea kutulia mpaka nione move yote inavomalizia.
Aisee! mimi hiyo hapana man.
Ili kuelewa nini maana ya hayo yote na namna ya kuyacontrol hebu watafute kina Pasco Mayalla, Mtambuzi, Racim, Anael na Apollo.
Ulitumia mbinu gani kwani? pengine njia uliyotumia kuingia humo ni tofauti
 
Back
Top Bottom