Tukiondoa unazi tff na bodi ya ligi ndiyo tatizo. Ligi ni ya timu zote siyo ya simba au yanga.Ninachomaanisha mimi ni kuwa ratiba haijakaa vizuri halafu kinachokera haya mambo ni kila mwaka
Huyo ni mfu haina haja ya kumijibuKmc, simba, azam, ruvu shooting, African Lion zote ni za dar ulitaka zikacheze Na yanga tarime?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia hawajielewiKmc, simba, azam, ruvu shooting, African Lion zote ni za dar ulitaka zikacheze Na yanga tarime?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa yanga hilo swali hujiulizi kwanini hajacheza na azam au ndiyo yale nyani haoni kundu lakesimba raundi ya kwanza hajamaliza anacheza raundi ya pili . soka la tanzania kweli pasua kichwa
sio kuisaidia ni kuihujumu maana yake watamalizia mechi nyingi away ligi huwa ngumu sana mwishoni sio mwanzoni. lakini inaonesha hakuna watu makini wenye weledi katika TFF ya sasa labda kama wamefanya makusudi. na kwa vyovyote ingekua Simba wangegomea ratibaSwali halijibiwi kwa swali mkuu uliona wspi timu ikacheza nymbn mfulilizo mechi.11 km co kuisaidia yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
We unaona inatusaidia sisi Azam ilitakiwa acheze na yanga alipotoka Mapinduzi na alikua na muda wa kutosha we hujui kuwa itatumika kubalance matokeo. ukiangalia kwa makini utagundua hili. pamoja na kusaidiwa kiratiba Simba mnacheza mpira mzuri hongereniKwa yanga hilo swali hujiulizi kwanini hajacheza na azam au ndiyo yale nyani haoni kundu lake
Sio kwamba wanacheza vizuri, ni mwendo wa Kunogeshana na HALOPESA, PCCB hiko inawacheki ili waingie wenyewe mtegoni na hapo ndiyo itatokea kitimutimu na kizaazaa Mtaa wa Msimbazi na bakora lazima zitembee mamaee wakati wengine watakuwa wamesukumiziwa ndani, kama kuna anayebisha na ajifanye anajikuna, jifanye tu unajikuna.......We unaona inatusaidia sisi Azam ilitakiwa acheze na yanga alipotoka Mapinduzi na alikua na muda wa kutosha we hujui kuwa itatumika kubalance matokeo. ukiangalia kwa makini utagundua hili. pamoja na kusaidiwa kiratiba Simba mnacheza mpira mzuri hongereni
Sent using Jamii Forums mobile app