Habar zenu wanajamii wenzangu,
Naimani muwazima wa afya, kwa upande wangu namshukuru Muumba kwa neema ya uzima. Kichwa cha mada kihusike kwa walengwa wote, hapa nawaongelea sana sana graduates. Ni jambo la kawaida sana kukutana na vijana wengi tu mtaani wasio na ajira maalumu au kazi ya kufanya tena kwa miaka kadhaa kwa kisingizio cha ukosefu wa ajira za kutumia vyeti, naongelea ajira za maofisini.
Samahan naomba msinielewe vibaya, sina maana ya kuponda wanaohangaikia ajira miaka kadhaa na kuendelea kuilaumu system au serikali bali nataka tujuzane alternatives zingine za kufanya ili tuweze kufit sehemu tunazostahili. Kwa lugha nyepesi naomba kupitia uzi huu tujuzane njia za kupitia/kufanya hasa tukiwa bado masomoni ili pale tunapohitimu elimu zetu tujue tunaanzia wapi sio tunarudi home mikono kichwani tukiwaangalia wazazi/walezi wetu huku nao pia wakipay attention kujua ni kipi kipya tumerudi nacho.
Kwa kuanzia natoa views zangu halafu nitaomba tuchangie pia mitazamo yenu ili tuweze kusaidiana maana haipendezi hata kidogo mtu unapita mtaani watu wanakunyoshea vidole, utasikia umemwona yule mkaka mwenye bahasha ya kaki,! toka kamaliza chuo mwaka juzi hana analofanya zaidi ya kupiga stori na mlinzi wa mama Semeni!
Duuuh Nionavyo mimi chuo/shule ni taasisi muhimu ambayo ukitumia akili yako vizuri ni rahisi kutambua au kujifunza jinsi ya kugundua fursa za kiuchumi maeneo mbalimbali. Maana yangu ni kuwa unaweza kubadilishana ujuzi na wenzio mfano kwa kuulizia mnafanya nini wenzangu ukiachalia mbali kitabu?
Ukiwa serious na willingly hapa utapata kitu. Pia mavyuoni siku hizi huwa kuna semina kibao za ujasiriamali, tia mguu huko. Mbali na hayo yote kuna kina Thomas na Ngina ambao bodi ya mikopo inawatambua, wapendwa tujaribu kujiwekea akiba kutoka kwenye hicho kidogo tukipatacho na kisha kukitumia baadae kama kimtaji. Nina mfano wa wadau wengi tu ambao wametoka kupitia hii njia. Kuna slogan mtaani inasema CHANGES BEGIN WITH YOU, haya basi kila mmoja wetu ashike panga na shoka tayari kwa kutokomeza janga la ajira kwa wasomi. Twende pamoja kwa kutoa michango positive mfano kwa kutoa mifano halisi ya watu waliootoka bila kutegemea ajira.
MUBARIKIWE..
Naimani muwazima wa afya, kwa upande wangu namshukuru Muumba kwa neema ya uzima. Kichwa cha mada kihusike kwa walengwa wote, hapa nawaongelea sana sana graduates. Ni jambo la kawaida sana kukutana na vijana wengi tu mtaani wasio na ajira maalumu au kazi ya kufanya tena kwa miaka kadhaa kwa kisingizio cha ukosefu wa ajira za kutumia vyeti, naongelea ajira za maofisini.
Samahan naomba msinielewe vibaya, sina maana ya kuponda wanaohangaikia ajira miaka kadhaa na kuendelea kuilaumu system au serikali bali nataka tujuzane alternatives zingine za kufanya ili tuweze kufit sehemu tunazostahili. Kwa lugha nyepesi naomba kupitia uzi huu tujuzane njia za kupitia/kufanya hasa tukiwa bado masomoni ili pale tunapohitimu elimu zetu tujue tunaanzia wapi sio tunarudi home mikono kichwani tukiwaangalia wazazi/walezi wetu huku nao pia wakipay attention kujua ni kipi kipya tumerudi nacho.
Kwa kuanzia natoa views zangu halafu nitaomba tuchangie pia mitazamo yenu ili tuweze kusaidiana maana haipendezi hata kidogo mtu unapita mtaani watu wanakunyoshea vidole, utasikia umemwona yule mkaka mwenye bahasha ya kaki,! toka kamaliza chuo mwaka juzi hana analofanya zaidi ya kupiga stori na mlinzi wa mama Semeni!
Duuuh Nionavyo mimi chuo/shule ni taasisi muhimu ambayo ukitumia akili yako vizuri ni rahisi kutambua au kujifunza jinsi ya kugundua fursa za kiuchumi maeneo mbalimbali. Maana yangu ni kuwa unaweza kubadilishana ujuzi na wenzio mfano kwa kuulizia mnafanya nini wenzangu ukiachalia mbali kitabu?
Ukiwa serious na willingly hapa utapata kitu. Pia mavyuoni siku hizi huwa kuna semina kibao za ujasiriamali, tia mguu huko. Mbali na hayo yote kuna kina Thomas na Ngina ambao bodi ya mikopo inawatambua, wapendwa tujaribu kujiwekea akiba kutoka kwenye hicho kidogo tukipatacho na kisha kukitumia baadae kama kimtaji. Nina mfano wa wadau wengi tu ambao wametoka kupitia hii njia. Kuna slogan mtaani inasema CHANGES BEGIN WITH YOU, haya basi kila mmoja wetu ashike panga na shoka tayari kwa kutokomeza janga la ajira kwa wasomi. Twende pamoja kwa kutoa michango positive mfano kwa kutoa mifano halisi ya watu waliootoka bila kutegemea ajira.
MUBARIKIWE..