Inatumia muda gani mpaka pesa ya mkopo kuingizwa kwenye account?

Inatumia muda gani mpaka pesa ya mkopo kuingizwa kwenye account?

navigator msomi

Senior Member
Joined
May 8, 2018
Posts
188
Reaction score
224
Salaamu wanajamii, napenda kuuliza hivi huu mkopo wa hazina huchukua muda gani mpaka kuingia kwenye account kama ushamaliza process zote za mkopo?

Sababu tangazo tangu limetoka ni mwezi wa 11 mwaka jana, process zote nikamaliza mwaka jana ila cha ajabu mpaka sasa hivi hakuna chochote na deduction per month ishaanza kutolewa!

Shida itakua huku halimashauri kwangu au hazina, maana ukiuliza huku wanakuambia wenyewe hawahusiki coz tuliomba online moja kwa moja hazina, mwenye ufahamu na hii kitu ashushe nondo tafadhari.
 
Salaamu wanajamii, napenda kuuliza hivi huu mkopo wa hazina huchukua muda gani mpaka kuingia kwenye account kama ushamaliza process zote za mkopo!?

Sababu,tangazo tangu limetoka ni mwezi wa 11 mwaka jana, process zote nikamaliza mwaka jana ila cha ajabu mpaka saiz hakuna chochote na deduction per month ishaanza kutolewa...

Shida itakua huku halimashauri kwangu au hazina, maana ukiuliza huku wanakuambia wenyewe hawahusiki coz tuliomba online moja kwa moja hazina.. mwenye ufahamu na hii kitu ashushe nondo tafadhari.
Bingwa Ivory coast
 
Salaamu wanajamii, napenda kuuliza hivi huu mkopo wa hazina huchukua muda gani mpaka kuingia kwenye account kama ushamaliza process zote za mkopo?

Sababu tangazo tangu limetoka ni mwezi wa 11 mwaka jana, process zote nikamaliza mwaka jana ila cha ajabu mpaka sasa hivi hakuna chochote na deduction per month ishaanza kutolewa!

Shida itakua huku halimashauri kwangu au hazina, maana ukiuliza huku wanakuambia wenyewe hawahusiki coz tuliomba online moja kwa moja hazina, mwenye ufahamu na hii kitu ashushe nondo tafadhari.
Ulitoa hata buku2 ya maji?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Naomba kuelekezwa jinsi ya kuomba mkopo Hazina
 
CRDB ikizidi sana siku 2 tokea upeleke ile form ya makato alioingiza HR
 
Approved amount ishapita,na signed contract nishasubmit..na isha be verified.

Stage bado mpunga tu na tangu mwezi wa 12 mzigo haujaingia
Naamisha sasahivi ukiingia katika Acc yako ya Hazina portal online inaandikaje?
 
Unaomba mkopo january🥲
Mwezi huu february mzigo wako uhakika😎
 
Hivi riba ya mikopo ya hazina Ni 0% au porojo za watu ?
 
Salaamu wanajamii, napenda kuuliza hivi huu mkopo wa hazina huchukua muda gani mpaka kuingia kwenye account kama ushamaliza process zote za mkopo?

Sababu tangazo tangu limetoka ni mwezi wa 11 mwaka jana, process zote nikamaliza mwaka jana ila cha ajabu mpaka sasa hivi hakuna chochote na deduction per month ishaanza kutolewa!

Shida itakua huku halimashauri kwangu au hazina, maana ukiuliza huku wanakuambia wenyewe hawahusiki coz tuliomba online moja kwa moja hazina, mwenye ufahamu na hii kitu ashushe nondo tafadhari.
Vipi ulishawekewa au hadi leo ni kimya?
 
Back
Top Bottom