Inauma kuona David Kafulila anatamba na hoja pamoja na maelekezo ya CCM. Kwanini wapinzani hamumjibu?

Inauma kuona David Kafulila anatamba na hoja pamoja na maelekezo ya CCM. Kwanini wapinzani hamumjibu?

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
Kama kuna kijana asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Chukueni tahadhari mapema!
 
Kwakuwa Kafulila anaongea kwa data hao unaotaka wamjibu inabidi nao watumie data kumjibu. Zikitofautiana basi Kuna mmoja atakuwa na data feki hivyo Sheria ya Takwimu itamhusu!
 
Kama kuna kijana asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Chukueni tahadhari mapema!
Kafulila ni mtumishi wa serikali na kanuni hazimruhusu kufanya siasa, ninajiuliza mwanasiasa anaanzaje kujibishana na mtumishivwa serikali, kinachotakiwa ni kumpeleka mbele ya mamlaka inayozuia watumishi wa serikali kufanya siasa ili watoe mwongozo.
 
Kama kuna kijana asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Chukueni tahadhari mapema!
Unalipwa na Kafulila ili kumuanzishia mada humu aonekane ana lolote, Wewe ni mjinga na kapuku.

Umasikini wako ni laana.
 
Kama kuna kijana asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Chukueni tahadhari mapema!
Joined 25 Dec 2024
 
Back
Top Bottom