Aliniambia simu inezingua betri, nikaona nikimkazia sana naweza nikadaiwa hela ya betri mpya
Mimi sitakag ujinga huwa naomba nikae na pochi yake....!!!! Ku-avoid Mambo yakihuni Kama hayo, mwisho wa siku ukale mkono bure na matusi mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ungemfuata Buza huenda na wewe ungefilimbwa
Umeamua kunitukana mkuuNa ungemfuata Buza huenda na wewe ungefilimbwa
Ashakumu si matusi shekhe
[emoji16][emoji16]Bora alivyoondoka kwao buza na kukuacha hapo ukipigwa na baridi demu mwenyewe amekutwa na Corona...
Likuepukalo lina kheri.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi sitakag ujinga huwa naomba nikae na pochi yake....!!!! Ku-avoid Mambo yakihuni Kama hayo, mwisho wa siku ukale mkono bure na matusi mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
POMPEO asubuhi umeanza na kabinti kalikonunua tiles kakuachia chenji 6000[emoji16][emoji16]
Hahhaha aiseePOMPEO asubuhi umeanza na kabinti kalikonunua tiles kakuachia chenji 6000
mchana white hupendi black
usiku saa 8 maduka mawili umeachwa solemba
kesho wahi dukani, mabaamedi wana watu wao wanaowahudumia kila siku
unaweza ambiwa akanabidhi mauzo kwa meneja kumbe anakung'utwa wewe ukaachiwe ukamlaze guest uondoke na malazi