Inauma sana. Leo amenitamkia wazi kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa

Muache kama hapendi moto wako wachana nae atafute wanao mfikisha kunako
 
Mshukuru huyo kaamua kukueleza Ukweli kuliko anaekudanganya huku anakulia pesa zako bure. Tafuta unayemmudu! Alafu mbona wwnawake huwa hawaridhiki mkuu? Kwanini utake kuwaridhisha?
 
usijari blaza, we nani mpaka akwambie ameridhika??mana hata maumbile yao hawajawai kuridhika nayo. we endelea kula ugali wako..ukapata wengine peleka moto tu kama wataridhika sawa au hawajaridhika sawa...
 
Kinachoniuma Ni kwanini wengine nawaridhisha!
Kwahiyo ulitaka usiwaridhishe wote ili isikuume? Binafsi sipendi kumridhisha kila mwanamke, wengine wanichune tu waende zao , Lakini kama unataka uwe mwanaume wake wa kwanza kumridhisha fanya hivi,kunywa kokoa/kakao iliyokolea (nzito) utamsugua Kama hatakojoa msugue na dole gumba la mguu wa kulia
 
Sasa kama ajawahi kuridhishwa wewe inakuuma nini mkuu😂😂😂
 
Ndio Sinema Zenyewe Hizo😂😂😂

 
Saa unaumia nini?,tatizo liko kwake siyo kwako..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mom ni wee umeandika au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…