Huo ni mtazami wako tu mkuu, maana kadri siku zinavyo enda ndipo chagamoto zinakuja tofautiMhhh mkuu Mbona kama nyuzi zako siku hizi huandiki wewe, au simu umeibiwa?
Mkuu, yaani umecheka kwamba nini yani...??Inawezekana kabisa hii si kawaida yake Ushimen
Ila dah,, nimecheka sana
Mkuu, mimi ni baba mwenye hekaheka daily na huku kwetu sisi tunakunywaga uji sio chaiKama unayosimulia sio chai kavu,unaonekana ni miongoni mwa vile vidingi vikuda
Dingi mnoko ndio nini...??Umelipata ulilolitafuta dingi mnoko.
Kulikoni mkuu??Ahahahah.Nimeaibika kwenye usafir wa umma kwasababu ya post hii.
Nilikuwa kwenye harakati za kutoa discipline, na nilibeba akiba ya fungu moja la bakora mkuu...We mzee unazeeka vibaya sana sikupatii hata picha
Mzigo wa fimbo ulikuwa wa nini mzee,,
Ndio mkuuNi yule dogo alikuwa anakupiga kizinga akiwa na chaliake wakaongea kihuni kabla simu haijakata?
Dahhh....Mzigo wa fimbo ulikuwa wa nini mzee,,
Watoto wa siku hizi hawa wa kidigital na PS4,, unawabebea mistiki why,,
Wametumia akili kidogo tu kukuadabisha,,
Huyu dogo itabidi udeal nae likizo hii ya pasaka.
Kabla hajarudi likizo, itabidi nije niombe ushauri hapa namna ya kudeal nae atakapo rudi likizo aiseeeeHuyu dogo itabidi udeal nae likizo hii ya pasaka.
Ndio yule kijana anayeongea kichuga?Nilikuwa kwenye harakati za kutoa discipline, na nilibeba akiba ya fungu moja la bakora mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio yeye mkuu, lakini hakuongea kichaga bali aliongea kiswahili kama chakuvutia bange nahisiNdio yule kijana anayeongea kichuga?
Mkuu, nafahamu kwa umri wako haujaona la kujifunza hapochai usiku mkuu?