Inauma sana

Inauma sana

Samcezar

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
13,095
Reaction score
22,731
Kulikuwa na m'mbwa wetu mkali sana.....alikuwa mkali kama simba hadi muda mwingine anawachenjia wanakaya maana alikuwa hataki mchezo.........sasa mshua akaamua yule mbwa ahasiwe ili apunguze ukali.......utaratibu wa kumuhasi ukafanywa........cha ajabu yule mbwa akawa mpole kama kobe.........mshua ikabidi amuanzishie dozi ya bangi ili mizuka ya kupambana iwepo japo kwa usiku..........so akamuanzishia dozi ya bangi anampigisha pafu za kutosha usiku kisha anamfungulia...........cha ajabu akagundua kuwa huyu mbwa huwa anatoroka usiku na kurejea asubuhi....

Katika kufanya uchunguzi..........akagundua kuwa huyu mbwa huwa anakwenda mtaa wa nyuma ambao kuna m'mbwa dume mwingine wa geti kali ambaye huwa anamfuata ili akamgegede......dah[emoji27]

Mshua anajuta sana maana m'mbwa wetu keshakuwa mshumaa tena ......... anagegedwa na majibwa mengine.......na usimpomfungulia anatoa milio ya ajabu halafu kama anabana pua hivi akiwa analia[emoji108] ......halafu anafanya fujo balaaa.........ukienda kumfungulia anatoka nduki anaruka fensi anawahi mtaa wa nyuma kwenda kugegedwa
.........ukienda kuchungulia unamkuta anamwaga uno..........insikitisha sana.....kama usiku wa jana nikampa bange misokoto miwili na redbull iliyochanganywa na kahawa akatoka nduki.......kwenda kumfuata namkuta anagegedwa na majibwa koko matano kudadadeki[emoji22] ..........nimelia sana......hadi hapa ninahadithia nimeshika picha ya m'mbwa wetu kipindi hicho akiwa bado ni askari mkakamavu asiyezoeleka kizembe......daaaah inauma sana jamani.[emoji25]
 
kuna style nyingi za kuondoa stress
 
Hahahahahahaa nimejikuta nacheka kwa kugumia.
Mleta mada pole kwa yaliyokusibu ukiweza kutoa yaliyo moyoni huwa ni dawa nzuri sana hata kama jinsi ya kuyayoa ni kwa sanaa na ubunifu mkubwa.

Na kwa uelewa wangu hakuna mnyama anayeingiliana kimaumbile jinsia moja kama mashoga na wasagaji zaidi ya binadamu.
Labda ufafanue zaidi.
 
Aiseeeee nimecheka sana na hii lugha yako ya kichochezi douh!!!!!Kwa maana hiyo mbwa wenu amekuwa si rizki tena na bhange juu!!!!!!
 
mgemtafutia jike ambalo limepigwa sindano na si kumuhasi mbwa dume.... ona sasa gharama ulizoingia mpaka sasa,na bado umemvutisha bange... we jamaa sijui wa wapi?
 
Hahahahahahaa nimejikuta nacheka kwa kugumia.
Mleta mada pole kwa yaliyokusibu ukiweza kutoa yaliyo moyoni huwa ni dawa nzuri sana hata kama jinsi ya kuyayoa ni kwa sanaa na ubunifu mkubwa.

Na kwa uelewa wangu hakuna mnyama anayeingiliana kimaumbile jinsia moja kama mashoga na wasagaji zaidi ya binadamu.
Labda ufafanue zaidi.
Ha ha ha ha ha ha ha[emoji23]

Muda mwingine inabidi tuwe tunapeana burudani ..........huu ni utunzi tu wa story kama za shigongo
 
Huyo mbwa asije huku kwa wala mbwa ataliwa mzima mzima
ha ha ha ha ha njooni mumchukue maana mimi nikimuona naumia roho sana na sijui cha kufanya ili kumsaidia
 
Aiseeeee nimecheka sana na hii lugha yako ya kichochezi douh!!!!!Kwa maana hiyo mbwa wenu amekuwa si rizki tena na bhange juu!!!!!!
Yaani stim za ukali zote zimehamia kwingine........hapa nikiangalia picha nilizompiga kipindi kile akiwa jemedali machozi yananilenga
 
Back
Top Bottom