Inauma sana

hapo nimejikuta napata sababu ya mapungufu kiasi niliyoyanotes kwangu, wakuu mpo juu sana. naamini wengi tuna nufaika na haya hata kama sio leo basi kesho yatusaidie jamani.
 
viva JF
the VIVA FoREVER.....wote tusema ..................vivaaaaaaa
 
hapo nimejikuta napata sababu ya mapungufu kiasi niliyoyanotes kwangu, wakuu mpo juu sana. naamini wengi tuna nufaika na haya hata kama sio leo basi kesho yatusaidie jamani.

Mkuu ni ngumu kutabiri tabia za mwanamke mjamzito....
Muhimu ni kuwa tayari kwa lolote....
Kuna wengine hawataki kukuona....ila pia hawataki utoke nyumbani....yaani uwe karibu ila asikuone....
 
Mkuu ni ngumu kutabiri tabia za mwanamke mjamzito....
Muhimu ni kuwa tayari kwa lolote....
Kuna wengine hawataki kukuona....ila pia hawataki utoke nyumbani....yaani uwe karibu ila asikuone....

dah sio mchezo. inahitaji uelewa wa hali ya juu, sasa mimi najiuliza hivi kule kwetu kwenye mfumo dume mbona wanawake wanakuwa hawana haya au nini haswa. sijawahi sikia mama wa kisukuma anamtuma mmewe kupika au kumjibu dry kisa mjamzito au kunakiasi cha kujifanyisha.
somo nimelielewa ila km binadamu nabaki na maswali kichwani, au ndo beijing hii(gender mainstreaming).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…