BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Ya mwisho ndo imenigusa na tabia hiyo wanayo Jf-kujiona una sumu kwa kumpata demu kisu kumbe demu ni muuzaji.
-una cheti first class ila ajira amepata mwenye lower class
-Kutunukiwa tunda na binti mrembo afu mnara ukagoma kusoma
-kuwa na njaa afu unakuta chakula usichopenda.
-kumdharau usiyemjua kumbe yeye ndo msaada wako pekee
-kumjali kwa kutomla kisamvu kumbe kuna boya daily anakipakua na kula
-kuanzisha Uzi na asicomment mtu yoyote.