Ila kimekaa utam cha umeme au subiri waje wenye kujuaKwa anayejua bei ya hizi pikipiki na mahali zinapopatikana, anijulishe tafadhali.View attachment 3174762
NzuriKwa anayejua bei ya hizi pikipiki na mahali zinapopatikana, anijulishe tafadhali.View attachment 3174762
Hapana mkuu si ya umeme. Kanatumia mafuta. Pia pikipiki hizi bei yake ni 2.5 mpaka 3 ina range humo.Ila kimekaa utam cha umeme au subiri waje wenye kujua
Msuli wa kuvaa unao?Kwa anayejua bei ya hizi pikipiki na mahali zinapopatikana, anijulishe tafadhali.View attachment 3174762
Za wenyewe hizoMsuli? Kwanini msuli?