Cannabis JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 11,557 Reaction score 33,535 Dec 22, 2024 #1 Habari za chini chini ni kuwa wajumbe wengi wanakubaliana kwamba hakuna mwingine atakayeweza kupeperusha bendera ya kuwania Urais zaidi ya mwamba. Hii inatokana na ukomavu wa kisiasa anaozidi kuuonyesha. Maridhiano ni process.
Habari za chini chini ni kuwa wajumbe wengi wanakubaliana kwamba hakuna mwingine atakayeweza kupeperusha bendera ya kuwania Urais zaidi ya mwamba. Hii inatokana na ukomavu wa kisiasa anaozidi kuuonyesha. Maridhiano ni process.
Rozela JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 845 Reaction score 2,235 Dec 22, 2024 #2 Bhahahahaaaaaa
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Dec 22, 2024 #3 Kura yangu anayo, Viva Mbowe Vivaaa! Tuvushe Mbowe tuvusheee, tuvushe Mwamba tuvusheee!
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Dec 22, 2024 #4 Chadema anakuja Dr Naniliu PhD Kama enzi za Lupaso 😀😀
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Dec 22, 2024 #5 Mnataka ang'ang'anie mdarakani?
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Dec 22, 2024 #6 Shadow7 said: Mnataka ang'ang'anie mdarakani? Click to expand... Kaomba achaguliwe, demokrasia itaamua anachaguliwa au laa, naona mna udikteta wa kinamna
Shadow7 said: Mnataka ang'ang'anie mdarakani? Click to expand... Kaomba achaguliwe, demokrasia itaamua anachaguliwa au laa, naona mna udikteta wa kinamna