Inawahusu wadada walio single na wenye uitaji wa kuwa mke

Inawahusu wadada walio single na wenye uitaji wa kuwa mke

amonly

Member
Joined
Nov 20, 2012
Posts
61
Reaction score
33
Nashukuru kwa wote walio changia thread yangu hii. Walio ni PM na kunishauri. Kwa sasa nimempata mwenzangu ambaye amenifanya nilifute ombi langu kwa dhana kubwa ya kumuheshimu na kuweka uaminifu kwake
Asante Atgza

 
Pole sana kaka angu, lakini mimi ningekushauri upate mda wa kutulia na kupunguza jazba kidogo ili ufanye maamuzi sahihi

japo cjawahi kuishi na mke so siwezi kuwa expert wa mambo ya ndani ya nyumba nadhani umri wako bado haujaenda kiasi hicho cha may be majukumu mengine ya kifamilia yanaweza kufanya uwe na ulazima wa kutafuta mwenza haraka

lakini kwa mtazamo wangu nadhani unahitaji mda zaidi wa kujipanga tambua hapa unaweza pata msichana ambaye ni msanii akatumia advantage ya matatizo uliyoyaeleza akaigiza kama wife material kumbe ndo balaa zaidi
 
Pole sana kaka angu, lakini mimi ningekushauri upate mda wa kutulia na kupunguza jazba kidogo ili ufanye maamuzi sahihi

japo cjawahi kuishi na mke so siwezi kuwa expert wa mambo ya ndani ya nyumba nadhani umri wako bado haujaenda kiasi hicho cha may be majukumu mengine ya kifamilia yanaweza kufanya uwe na ulazima wa kutafuta mwenza haraka

lakini kwa mtazamo wangu nadhani unahitaji mda zaidi wa kujipanga tambua hapa unaweza pata msichana ambaye ni msanii akatumia advantage ya matatizo uliyoyaeleza akaigiza kama wife material kumbe ndo balaa zaidi

Nkubaliana na ww mkuu...!!!!ni kazi kuanzisha mahusiano mapya baada ya kuvunja mahusiano yenye matatizo.unaweza ukakurupuka na kukanyaga kinyesi kama ulivyosema.tulia kwanza make up your mind kwa uhakika ndo uamue unachotaka kukifanya kuishi single kunawezekana sana tu!!!!Ila let me declear interest offer yako iko soo tempted!!!!!!!
 
pole,mungu atakujalia utapata2,mbona hujaweka sifa za mke unayemtaka?

Nitependa awe rafiki yangu wa kawaida kwanza then nitamuhoji naye atanihoji ili kufahamu kama ataniweza au nitamueza.
 
Hongera kwa hilo. Hope utafanikisha malengo ya mahusiano yenu. All tha best
 
Back
Top Bottom