Inawezekana Abromovich kuingia kwenye siasa na hata kugombea Urais Urusi

Inawezekana Abromovich kuingia kwenye siasa na hata kugombea Urais Urusi

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Siasa ni kitu cha ajabu na kama ni bahati ya mtende bila kutegemea.

Hata putin historia inaonekana ni bahati ya mtende kufikia kuwa raisi ya Urusi.

Ila vita hii inaweza kuwa neema kwa tajiri Abromovich huko mbeleni kuingia kwenye duru za kisiasa na kwa ajili ya mapebari ambao naona kama kuna upande kutengenezwa kuja kushindana na putin kama akiachia madaraka au vugu la kisiasa huko mbeleni.

Abromovich kuja kuwa raisi wa baadae na mabadiliko ya baadae katika historia mpya ya Urusi.

Asanteni ni wazo limekuja ghafla sio kusikia
 
Abromovich ana moyo wa kipekee sana. Sio katika mpira hata project zake zingine anaziendesha kwa moyo wa utu na ndo maana sishangai anafanikiwa sana.

Ni mtu sahihi kuwaongoza Warusi sio huyo kichaa dikteta anaigeuza nchi kama mali yake.
 
Kuongoza Nchi si kitu kama kuendesha biashara kama mnavyodhani,Muulizeni Said salim Bakhresa alivyojiingiza kwenye siasa 1995,na kwanini yuko low profile when it comes to politics..

Amini nakwambia hata abramovich hicho kitu hakipo kichwani mwake,hata kukiwazia tu,ndio maana wanakuwa royal sana kwa state/putin,sababu wanajua
 
H
Abromovich ana moyo wa kipekee sana. Sio katika mpira hata project zake zingine anaziendesha kwa moyo wa utu na ndo maana sishangai anafanikiwa sana.

Ni mtu sahihi kuwaongoza Warusi sio huyo kichaa dikteta anaigeuza nchi kama mali yake.
Tatizo lako ni upeo mdogo kuhusu geopolitics. Sikulaumu unapomrushia lawama Putin. You are such naive to the extent of being easily swayed by western media propaganda.
 
Abromovich ana moyo wa kipekee sana. Sio katika mpira hata project zake zingine anaziendesha kwa moyo wa utu na ndo maana sishangai anafanikiwa sana.

Ni mtu sahihi kuwaongoza Warusi sio huyo kichaa dikteta anaigeuza nchi kama mali yake.

Unajua chanzo cha Aluminium War;?
 
Kuongoza Nchi si kitu kama kuendesha biashara kama mnavyodhani,Muulizeni Said salim Bakhresa alivyojiingiza kwenye siasa 1995,na kwanini yuko low profile when it comes to politics..

Amini nakwambia hata abramovich hicho kitu hakipo kichwani mwake,hata kukiwazia tu,ndio maana wanakuwa royal sana kwa state/putin,sababu wanajua
Sawa Mzee wa bwaksi
 
H

Tatizo lako ni upeo mdogo kuhusu geopolitics. Sikulaumu unapomrushia lawama Putin. You are such naive to the extent of being easily swayed by western media propaganda

H

Tatizo lako ni upeo mdogo kuhusu geopolitics. Sikulaumu unapomrushia lawama Putin. You are such naive to the extent of being easily swayed by western media propaganda.
PUNGUZA UDINI AFU MBONA UNATUMIA LUGHA YA HAO HAO MABEBERU UNAOWAONA HAWAFAI
 
Abromovich ana moyo wa kipekee sana. Sio katika mpira hata project zake zingine anaziendesha kwa moyo wa utu na ndo maana sishangai anafanikiwa sana.

Ni mtu sahihi kuwaongoza Warusi sio huyo kichaa dikteta anaigeuza nchi kama mali yake.
Humjui Abrimovich,yule ni zaidi ya putin,
 
Kwamba Putin jasusi nguli aliyehudumu tangia ussr kuwa Rais wa Rusia ni bahati ya mtende kwake!,basi sawa.
 
Back
Top Bottom