Inawezekana gari au pikipiki yenye speed 120km/h kungezewa speed mpaka 180km/h bila kubadili engine

Inawezekana gari au pikipiki yenye speed 120km/h kungezewa speed mpaka 180km/h bila kubadili engine

bush crazy

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
767
Reaction score
1,083
Wakuu poleni na mjukumu, Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina kausafiri nilikapata kwa mbinde long time ago Sasa naona mwendokasi wake ni wakusuasua naomba kujua Kama kunauwezekano wa kukaongezea speed bila kubadili injini. Angalau kafikie 180 ili kupunguza vibration maana kakiwa kwenye 80 km/h naona Kama earthquake [emoji1787]
Maana bado kagari kangu nakapenda. Natanguliza shukrani.
 
Yaaa nazan ni possible nmewahi kusafiri na bas flan pale ubaoni inasoma 120km/hr..ndo max speed cha ajabu kupitia simu yangu nina apps flan inapima speed jamaa alikuwaa anatembea hadi 135km/hr..nilishangaa sana maana mshale inamana umepitiliza top speed [emoji583][emoji583][emoji583]
 
Back
Top Bottom