Inawezekana Hersi anajiandaa kuondoka Yanga

Inawezekana Hersi anajiandaa kuondoka Yanga

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Anachokifanya hivi sasa ni kama amefikia ukomo wa uwezo wake, au anajiandaa kuondoka lakini anataka aiache timu katika mazingira ambayo inapelekea akumbukwe.

Amefanya mambo makuwa sana ndani ya Yanga na kujijengea heshima. Lakini Kwa ninachokiona hivi sasa, ni dhahiri kuna mgogoro ndani ya Yanga kati yake na mdhamini wa Club.

Najaribu kuelewa, lakini haiingii akilini kwa Club kama Yanga kuwekeza katika kuokota wachezaji walioachwa na Simba, (hapa tusiwahusishe Chama na Mkude). Haijawahi kutokea hii, nina uhakika kwa mwendo huu, first eleven ya Yanga msimu ujao itaundwa na wachezaji kutoka Simba.

Kabla ya kila wakati kuja public na kututaa wanachama tuwe watulivu, mimi ninashauri viongozi ndiyo muwe watulivu ili mfanye mambo kwa utulivu na waledi, kwa sasa hampo sawa kabisa.
 
Screenshot_20241211-224620.png
 
Anataka amuachie mzee magoma! Yeye anaenda kuanzisha timu mpya inayokuwa inamilikiwa na GSM mazima
 
Yanga bingwa
Usifate upepo wa mbumbumbu
Tulimtaka Mwenda Toka mwanzo wa msimu
Tukawazubaisha mbumbumbu wakajaa tukampeleka Singida Kwa kuyazuga mbumbumbu na Sasa yupo Kwa wananchi
 
Anachokifanya hivi sasa ni kama amefikia ukomo wa uwezo wake, au anajiandaa kuondoka lakini anataka aiache timu katika mazingira ambayo inapelekea akumbukwe.

Amefanya mambo makuwa sana ndani ya Yanga na kujijengea heshima. Lakini Kwa ninachokiona hivi sasa, ni dhahiri kuna mgogoro ndani ya Yanga kati yake na mdhamini wa Club.

Najaribu kuelewa, lakini haiingii akilini kwa Club kama Yanga kuwekeza katika kuokota wachezaji walioachwa na Simba, (hapa tusiwahusishe Chama na Mkude). Haijawahi kutokea hii, nina uhakika kwa mwendo huu, first eleven ya Yanga msimu ujao itaundwa na wachezaji kutoka Simba.

Kabla ya kila wakati kuja public na kututaa wanachama tuwe watulivu, mimi ninashauri viongozi ndiyo muwe watulivu ili mfanye mambo kwa utulivu na waledi, kwa sasa hampo sawa kabisa.
Una akili ndogo sana kwa hio mchezaji akiondoka Simba hatakiwi kwenda Yanga?
 
Yanga bingwa
Usifate upepo wa mbumbumbu
Tulimtaka Mwenda Toka mwanzo wa msimu
Tukawazubaisha mbumbumbu wakajaa tukampeleka Singida Kwa kuyazuga mbumbumbu na Sasa yupo Kwa wananchi
Ila Yanga kwa unafki mmekubuhu. Yaani bila aibu unakiri mlikuwa mnamtamani msugua benchi wa Simba mkafikia hatua ya kumpeleka Singida ambayo kila tukisema ni Yanga B mnakuwa mnabisha na wewe unakiri hapa mna huo ushirikiano wa karibu hadi mnaingia njama za pamoja kumuiba mchezaji wa Simba. Kweli wanasema kila jambo lipe muda tu.
 
Ila Yanga kwa unafki mmekubuhu. Yaani bila aibu unakiri mlikuwa mnamtamani msugua benchi wa Simba mkafikia hatua ya kumpeleka Singida ambayo kila tukisema ni Yanga B mnakuwa mnabisha na wewe unakiri hapa mna huo ushirikiano wa karibu hadi mnaingia njama za pamoja kumuiba mchezaji wa Simba. Kweli wanasema kila jambo lipe muda tu.
Israel Mwenda alikuwa umbumbumbuni Kwa bahati mbaya Sasa amekuja Yanga kubeba ubingwa
Wachezaji Wanachama 5imba kuja Yanga, wanakwepa aibu ya kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
 
Israel Mwenda alikuwa umbumbumbuni Kwa bahati mbaya Sasa amekuja Yanga kubeba ubingwa
Wachezaji Wanachama 5imba kuja Yanga, wanakwepa aibu ya kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
Nyie ni wanafki promax. Ndiyo maana huwa nawapush mropoke hovyo maana nawajua vyema mlivyo wanafki. Maandalizi yanaenda vyema kuwatundika goli 9.
 
Yanga bingwa
Usifate upepo wa mbumbumbu
Tulimtaka Mwenda Toka mwanzo wa msimu
Tukawazubaisha mbumbumbu wakajaa tukampeleka Singida Kwa kuyazuga mbumbumbu na Sasa yupo Kwa wananchi
Na saizi mnamtaka nani mwingine kutoka kwetu?

Sio msubiri tumtupe ndio muanze kumletea shobo kwa madai mlikuwa mnamtaka tangu kitambo.
 
Israel Mwenda alikuwa umbumbumbuni Kwa bahati mbaya Sasa amekuja Yanga kubeba ubingwa
Wachezaji Wanachama 5imba kuja Yanga, wanakwepa aibu ya kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
We jamaa we akili zako haziko timamu hata kwenye maisha ya kawaida,jinsi akili zako zilivyo unaonyesha hata kwenye maisha ya kawaida huna akili wala maendeleo
 
Back
Top Bottom