Inawezekana hili likawa kundi bora zaidi kwa akina dada duniani kwa sasa!!

Inawezekana hili likawa kundi bora zaidi kwa akina dada duniani kwa sasa!!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Wanaitwa Fifth Harmony... Hawa wadada wanaweza mpaka wamepitiliza.. Kila nikisikiliza Sledgeharmer, Worth It, Work from home na kazi yao inayotamba kwa sasa waliyoimba na Fetty Wap sioni wa kuwafikia!!
Kidogo Little Mix wanawafuatia!!

1469710950033.jpg


1469710996579.jpg
 
My favourite group kwenye X factor US season 2. Camila (mmh anavyocheza na sauti yake uwii)), Dinah, Lauren, Ally na Norman.... way to go girls
 
Enzi zangu niliwapenda SWV na wale wengine sijui chumvi na pilipili nikamaliza na TLC sasa nimenyoosha miguu ninyi wa kizazi hiki endeleeni na wala siwashangai ni enzi zenu.
 
Hivi yale mauno BASATA wanasemaje kuhusu maadili yetu? Au longo longo kwa Bongo Fleva tu?
 
Wana quality moja ambayo nadhani itawafanya wabakie pamoja muda mrefu sana. Nayo ni; they need each other to survive the showbiz industry. Individually, they have average looks, average talents. No Beyonce virus.
 
Wanaitwa Fifth Harmony... Hawa wadada wanaweza mpaka wamepitiliza.. Kila nikisikiliza Sledgeharmer, Worth It, Work from home na kazi yao inayotamba kwa sasa waliyoimba na Fetty Wap sioni wa kuwafikia!!
Kidogo Little Mix wanawafuatia!!

View attachment 372481

View attachment 372482
Wanajua napendaga kuckiliza album yao 7/27 mida ya kulala au nikitoka mishemishe wana track kali humo balaa km no way, gonna get better, i lied, the life, dope, write on me n nyinginzo album yao n kali hamna ngoma mbovu
 
Back
Top Bottom