Inawezekana kabisa Simba SC ikaweza kufuzu mapema robo fainali ugenini

Kwamba mambo ya "turn over za hatari" yamefeli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu plan ya Kocha imefeli pamoja na kupiga sana kelele hapa kuhusu kucheza kwa nidhamu eneo la kujilinda, lakini yote nimekubali matokeo ya kupoteza

Najipanga upya kwenye mchezo unaofuata.
 
Mkuu plan ya Kocha imefeli pamoja na kupiga sana kelele hapa kuhusu kucheza kwa nidhamu eneo la kujilinda, lakini yote nimekubali matokeo ya kupoteza

Najipanga upya kwenye mchezo unaofuata.
Mkuu morrison so wakumuanzisha benchi mechi za kimataifa labda za ligi Ana kitu cha ziada
 
Kizembe tu mshinde ugenini? 3G safi mmeipata
 
Kizembe tu mshinde ugenini? 3G safi mmeipata
Acha roho mbaya Simba ndo baba yenu kwa sasa mtake msitake nyie pambaneni na ligi kuu atleast mfute machozi ambayo mlilia kwa miaka 4 mfululizo. Na safari hii ugenini tunashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…